Pages

Sunday, April 21, 2019

Jinsi ya kumridhisha ( Kumla sawa sawa ) mwanamke katika tendo la ndoa

Leo nimependa sana kuongelea suala la tendo la ndoa kwani hasa ni wanaume wengi hawajui jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni mpaka imechangia hata wanawake walioko ndani ya ndoa kutoka nje ya ndoa na kuwasaliti wamezao hasa pindi wanapokutana na wataalamu katika hilo suala.

Zifuatazo ni njia ambazo mwanaume anaweza kutumia kuweza kumfurahisha zaidi mwanamke katika tendo la ndoa....

1. Kumuandaa mwanamke katika mudi ya kufanya tendo na hakikisha yupo tayari kufanya tendo.
Utamuandaa kwa kuhakikisha umekua mtundu kwakushishikashika na kutafuta kila "weaknespoint"ambayo ukiishika analalamika kimahaba. Hakikisha unamuandaa mpaka clitoric inakua ngumu.

2. Hakikisha ni sehemu salama ya kufanyia sex ambayo hamtapata interaction yeyote.

3. Hakikisha unakua mjuzi hasa katika lile tendo kwa kutumia uume wako hasa kwa kuingiza kwa ujuzi nikimaanisha ingiza uume huku ukiupeleka pande zote kulia kushoto. Huku ukiingiza sometym nusu na wakati mwingine ingiza yote wakati mwingine ukiongeza na kupunguza speed.

4. Hakikisha unatumia styles tofauti na usiwe static kila siku. Hizi ni styles 100 za kufanya sex

Jitahidi kutomzoesha style moja.

5. Mpe muda wa kupumzika pindi anapochoka na mkianza tena anza upya na usianzie ulipoishia.

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +