Pages

Thursday, May 16, 2019

INGIZA DUDU YOTE NDANI BABY SEHEMU YA KWANZA

Nikiwa mmoja ya wanafunzi wa shule ya sekondari.
Siku moja mwalimu wetu wa darasa alikuja na mwanafunzi mgeni ambae ndio aliingia shule, na kuwekwa darasa letu la kidato cha tatu D.

Aliletwa mbele na kutambulishwa kwa jina la Grace, jina lake lilikuwa zuri sana ambalo hata nilipo lisikia moyo wangu uliteta kwa furaha.
Jina lake linaweza kumvutia
mwanaume yeyote yule. Sio jina tu, hata yeye ni
mzuri pia! Tizama mcho yake yalivyo makubwa,
rangi ya ugoro, yenye mboni ya rangi nyeusi ya
kuiva. Ona midomo yake minene, tizama na nyusi
zake nyeusi zilizochongwa vizuri na kumfanya Grace
kunivutia.
Nilimpenda bure Grace japo hanijui ila jina lako lilijaa moyoni mwangu.
Siku moja baada ya yeye kuletwa darasani nilianza mbwembwe za kujipitisha pale alipo kaa.

"Mambo Grace"nilimsalimia kwa uchangamfu hapo nikiwa na wazo la kumuopoa.
Alinitizama kwa muda na jicho lake la mkonyezo hapo alinimaliza kabisa hata dushelele yangu ilisimama kwa muda kuangalia mazingira.

"Pooah"alijibu Grace kwa kunikonyeza, na kuachia tabasamu pana lililozidi kumpendezesha kwa kutoa vishimo vidogo dogo kwenye mashavu yake.
Nilishindwa hata kuendelea nikitafakari uzuri wa Grace ambae darasa zima hakuna, nilijiaminisha hivyo kwa kuwa ni mtu mpya kumuona katika upeo wa macho yangu.
Nikiwa pale namtazama kwa mapozi aliokuwa akiniletea hapo mwalimu akaingia,niliamka nilipokuwa nimekaa na kuondoka haraka kabla haijakuwa ishu.
Mwalimu alianza kufundisha somo lile la hisabati ambalo sikulipenda hata kidogo muda wote nilimaliza kumtazama Grace.
Nilijikita kitazama uzuri wa Grace. Hasa shape yake hata pale alipokaa hakutosha tayari makalio yalijaza kiti, nilitazama na kasketi kake kafupi kanako karibia kupita magoti.
Tukio lile mwalimu aliniona japo hakujua naangalia wapi.
"Weee gao"mwalimu aliniita na kunipiga na chaki hapo nikastuka
"Abeeeeh sir"niliitika bila kujua. Kitendo kile kikawaacha wanafunzi wote mdomo wazi kwa kucheka.

"Njoo hapa ndio unaitika vipi kama mwanamke"aling'aka mwalimu hapo nikajisogeza mbele kinyonge.

"Piga magoti hapa nafundisha wewe haupo darasani"aliniambia hapo nikabaki kimya tu.
Mwalimu akiendelea kufundisha bado haikuwa sababu ya mimi kuacha kumtazama Grace nilizidi kumtazama.
Tena nilimwona vizuri na miwani ya macho aliyovalia iliyompendezesha zaidi.
Somo la siku hiyo lilinipita kabisa hadi muda wa kutoka sina nilichosoma siku hiyo.
Tukiwa tumeruhusiwa tayari nilibaki nyuma nyuma nikimtafuta Grace bila mafanikio hadi kufika mbele ambako kuna vichaka vidogo ile kufika bila kutegemea namshuhudia mwanamke akipandisha sketi yake baada ya kutoka haja.
Hapi nilishudia tompo yake ikiwa imetuna kama mtu aliefura kwa hasira.
Alipogundua nimemuona alijifunika haraka, hapo nimeingiwa na uchu baada ya dushelele yangu kusimama nilinisogeza hadi pale huku yule msichana akitetemeka..

"Tulia basi na wewe tukojoe wote.."
Nilimwambia na kumsogelea zaidi kiasi kwamba nikamshika kiuno chake huku nyuma anatako tepe tepe, hapo katulia hana hata la kufanya.

"Aaaass nani jamaniii hata sikujui"alisema msichana yule hapo sikumjibu zaidi ya kumuegemeza kwenye mti huku nikitalii mwilini mwake..

"Aah siii ooops subiri jamani aaa"alisema kwa kulalamika hapo sikumwachia nilizidi kumng'ang'ania kiasi kwamba hado dushelele lumgusa gusa.
Hapo alisisimka zaidii.

"Oooooh tiya yoteeee aaaa pleaseee."alilalamika hapo sikuleta pupa nikahamia kinywani kwake akinipa juisi ya denda.
Huku mkono mmoja nikichezesha kwenye tompo yake iliyonuna..
"Aaaaaasss ssssshhh aaaas shshiiiii oooh."alilalamika msichana yule hapo nikiwa na midadi ya kutumbukiza dushelele katika tompoo yake.
Nilimnyonya juisi ya denda lita kadhaa kisha nikahamia katika chuchu zake zilizosima dede.
Nilizipapasa na ulimi ..
"Oooh jaman hapo hapoo oooh"alikuwa ni kulalamika tu na mimi hamu nilizokuwa nazo sikufikilia hata kumuuliza maswali.
Baada ya kuridhika kumuandaa tayari nikashuka chini na kuanza kuinyonya tompoo yake kitendo hicho lilimpigisha kelele zisizo kela.

"Ooh jamaa hapoo aaah aaa tenaa. Ash shh aaasssssss ass" niliinyonya kitendo kilichompagawisha hadi pale naingiza dushelele yangu chumvuni. nilihisi raha ya jabu kwa joto la tompoo yake nilianza ingiza toa ingiza toa.
Hapo nikifanya madhambulizi yakutafuta gori la ugenini nilimkimbiza hadi kutaka mechi iishe.
"Inatoshaa jaman please giza linaingia jaman.."alisema msichana yule kwa sauti ya kubana pua.

"Badoo bhana gori moja tu namalizia."nilimwambia,hapo akabadilika hata sura.
"Niache jaman please siku nyengine......."alisema hapo mimi mzuka umerudi nikaanza kumgeuza tena.

"niache jamani please siku nyengine..."alisema dada yule,hapo mzuka ndio umerudi hapo nikamgeuza.
Tulianza kubishana hapo baada ya kuona hayupo tayari kuanza tena hata hamu ikapotea tayari dushelele lilipoteza umaridadi na kunywea.

"Mmmmh jamani hivi hamu hizi mmh"alisema dada yule baada ya kuachana nae.

"Nini tena ila we mtamu.."

"Mmh kwanza waitwa nani mana hamu zimenifanya hata nisikuulize,si unajua mapenzi kikohozi.."

"Teh..! Teh.! Teh..!"nilijichekea kwa furaha.
"Unaitwa nani jamani..!"aliniuliza.

"Gao."nilijibu tu kwa ufupi, hapo tukitoka vichakani.

"Ahaa gao kumbe, mimi naitwa loveness"

"Wow.!,jina zuri kama utamu wako.."

"Hahaha."gao bhana acha zako."alisema huku akinipiga kibao kisichouma cha bega.
Tuliendelea na maongezi, ilikuwa kama tumejuana muda mrefu kumbe ni kitendo tu cha yeye kwenda haja na mimi kumuona.

"Unakaa wapi handsome wangu..!"alinishangaza sana kuniuliza vile kuwa mimi ni handsome wake.
Nilipata kigugumizi cha muda kabla ya kutoa majibu.

"Nipo mtaa wa tatu hapo kwa mzee simba."nilimwambia.

"Ahaaa sawa gao nimependa jina lako sana ni zuri..!"

"Asante sana loveness."nilimuitikia.
Maongezi yaliendelea huku tukicheka kwa pamoja.

"Gao nikwambie kitu.."aliuliza hapo shauku ya kuambiwa tayari ilinija.

"Niambiee loveness.."nilisema.

"Daaah jaman sijui nisikuambie."

"Nambie bwana. Si unambie tu jamani."

"Daah sawa. Gao mimi nimekupenda tayari unajua yani nilishindwa hata kujizuia kufanya tendo lile na wewe kwa sababu hisia zangu zimepanda sana pale uliponishika, na ile hamu ya kutokusex muda mrefu ndio kabisa, nimekosa ujasiri wa kukuzuia.."alisema loveness kwa hisia sana. Hapo tulikuwa tumesimama.
Daah kusema ukweli hata tendo nililofanya sikutegemea kabisa na wala sijampenda loveness, pepo la ngono ndio lilinimeza na kufanya tendo lile na yeye.

"Please nakupenda mbona hujibu please nakupenda jamani."alilalamika loveness hapo nikamkata tu kauli bila kujibu anavyotaka.

"Tafadhali ngoja niwahi nyumbani giza linataka kuingia nitakujibu kesho."niliongea kwa ufupi na kutaka kuondoka.

"Jamani nijibu please hata usiku wa leo nikalale vizuri Gao nisaidie mwenzio.."nilishindwa hata kujibu, hapo mawazo yote kwa Grace binti alieteka mtima wangu,niliondoka na kumwacha Loveness akilala sikujali nikaondoka.

Safari yangu ilikolea mpaka kukaribia kufika nyumbani, hapo kiza kinaanza kumea kila pande, nilikuwa nimechelewa sana kiasi kwamba hata nguo za shule sijui kama zitakauka nipige nizipas.

"Kaka gao. kaka gao"iliita sauti ya mtoto ambae anapenda kuniona.

"Kaka kaaka waaoooh"alikuja yule mtoto na kunikumbatia hapo nikambeba.

"Shikamoo kaka"marahaba imma hujambo.
"Sijambo kaka umeniletea pipi yangu."alisema imma hapo nikatahamaki na kukumbuka aliniagiza pipi.

"Usijali imma ngoja nile alafu tutaenda dukani.."nilimjibu.
Hapo akalizika, nikamshusha na kuingia ndani.

"Wee gao mbona umechelewa mwanangu."ni sauti ya mama ilionistua, mana kabla sijaingia tu ndani na kukaa kanishitua.

"Aaa amna mama."nilishikwa na kigugumizi cha kumjibu.

"Mbona unakigugumizi unatoka wapi"

"Mama shule tulikuwa na kazi za vikundi, ndio mana tumechelewa"nikampiga kizinga mama nae akakubali.

"Ahaa bahati yako nikajua umepitia vijiwe, ungenitambua leo."alisema mama.

"Hamna mama"

"Haya mimi naenda kwa dada yako,nilikuwa nakusubiri urudi tu wewe baba yako hatarudi leo. hivyo utakula chakula kwenye hotpots kajisevie tu wewe sawa."alisema mama.

"Sawa mama nisalimie dada mwambie jumamosi naja kumtembelea."

"Wapenda safari wewe si jumapili ulikuwa kule, ndio wataka kwenda tena, au kwa sababu kuna game."

"Haha hamna mama napenda kuonana na dada."nilisema huku nikicheka kidogo.
Maongezi yetu yakaisha, na mama akaondoka na kuniaga.
Hapo nikabaki mwenyewe nikaingia ndani na kuvua nguo za shule kisha nikatoka nazo kuzifua haraka dakika kumi zilitosha kufua na kuanika,baada ya kumaliza ndio nikakiingilia chakula na kukifakamia kushindana na njaa, hadi nikamaliza na kuelekea kwenye sebule na kukaa huku nikifungulia runinga.
Muda huo ilikuwa saa 20:30 kwa mujibu wa saa yetu kubwa iliyopo upande wa kushoto juu kidogo ya flat screen ya ukutani.
Hapo nikajikita kutazama miziki ya bongo fleva,hukumida ikizidi kusogea mdogo mdogo.
Mpaka mama akarudi wakati huo sikungea nae zaidi ya kumtakia usiku mwema baada ya salamu.
Nikaingia ndani tayari kwa kulala, nguo sikuzitoa nje kutokana na kuzianika uani ambako kuna vyumba vya wapangaji.

"haaaah"nilihamaki baada ya kukumbuka ahadi niliyompa imma kwenda nae dukani, ila tayari nilichelewa hata yeye hakuniita.
Nilijisemea na kujitupa kitandani.
Niliutafuta usingizi lakini sikuupata hata kidogo mawazo yote kwa Grace.
"Ooh jaman grace nitakupataje mrembo wewe daaah."nilijisemea kwa tabu ya uchovu, ila usingizi hauna rafiki tayari ulinikaavyema hapo nikalala.
Na kutokujua kinacho endelea..
*****
Asubuhi ilifika tayari nilishawahi shule kuchukuwa namba nikimwogopa sir lusinde mana ni mkali, hadi kuwa tishio kwa wanafunzi watukutu yeye fimbo zake hazishuki wiki yani saba, kunakipindi alimtengua mwanafunzi kiuno kwa kukosea na kumchapa kiunoni.
Hicho ndio kilinifanya sikuhiyo ni wahi shule nikikumbuka ni zamu yake hapo ndio kabisa hata njiani sikucheza.

Wanafunzi tuliowahi tulichukua namba akihesabu yeye mwenyewe hataki mchezo.

"Baada ya kupata namba wote nataka mwende kwenye maeneo yenu ya usafi nikikukuta umesisimama 'week'. "Alisema sir lusinde kwa kumaanisha na akisema wiki ni wiki kweli hatanii, tena kautilia mkazo.
Hapo nikaondoka na kuelekea eneo la usafi.

Masaa yaliyoyoma hadi muda wa darasani ukafika wote tukaingia, na vipindi kuanza.
Tulisoma hadi kufika mchana muda wa runch ,macho yangu yalipata tabu kumtafuta Grace kila kona, mana hata kumuona ilikuwa ni furaha kwangu.
Nilipepesa macho hadi kumuona akiwa ofisini ameshika sahani katumwa na mwalimu chakula.

Nikiwa nashangaa shangaa kengere ya kuingia darasani ikagongwa,hapo nikawahi mana kilikuwa kipindi cha sir lusinde somo la kiswahili.
Niliwahi na kuingia ndani na wanafunzi wengine kuingia, nae akaingia hapo akaanza kufundisha hakukaa muda mrefu,akatoka na kutuachiwa maswali ya mitihani iliyopita. Hapo tukaanza kuijadili muda wote nilitumia kumtazama Grace,
ama kweli aliniteka akili na kila kitu.
"gao kiswahili ni kibantu thibitisha kwa ushahidi wa kiisimu."alinipachika swali ambalo sikulizingatia.

"oya gao si unaulizwa mbona hujibu "alisema mwengine.

"aaaah aa unasema "nilijitoa fahamu kidogo.

"gao unazingua bhana,sasa unashindwa kujibu aaaah, huyu tumwache dawa tukamchongee kwa sir lusinde tu kuwa hajashiriki"alisema jamaa mwengine hapo kumsikia tu katajwa sir lusinde, hofu ikanija.

"oya acheni hizo bhana. kiswahili ni kibantu katika ushahidi wa kiisimu ni kuhusu misamiati.
Misamiati ya lugha ya kiswahili inafanana sana na misamuati ya lugha ya kibantu mfano:
kiswahili-kichwa
kisambaa-mtwi
kizigua:mtwi

Nilitoa majibu haraka haraka huku nisijue yalipo tokea yote ni kumuogopa sir lusinde kwa viboko vyake.
Muda uliisha, tukakusanya kazi na kiongozi wa darasa akazipeleka baada ya kengere kugogwa.

Wanafunzi wote tulikusanyika mstalini kwa pamoja, mimi nikiwa makini kumtizama Grace yote ni upendo wangu kwake.
matangazo yalitolewa siku hiyo na kisha kutawanyishwa.

"huyu leo simuachi nitamsubiri hapa hapa hadi niondoke nae hawezi tesa hisia zangu."
Nilijiapiza kumsubiri Grace hata niongozane nae. ila akaelekea maktaba ya shule hapo nikakaa chini ya mti wa muembe nikimsubiri.
Wanafunzi wote walitawanyika tayari hata rafiki zangu walishaondoka.
Nikiwa nimekaa sina habari.

"gauchoo gaoo."ni sauti ya madamu jane aliokuwa akiniita niliigundua kutokana na kupenda kuniita gaucho.

"naaam madamu"

"njoo huku ofisini."aliniita hapo nikaondoka kinyonge kwa kuwa kanipotezea njiwa wangu.

"aaah mimadamu mingine bhana sasa ana niitiia nini aah kero tu."nilijisemea huku nimekasirika.

"gaoo njoo basi haraka."aliniita kwa sauti ya juu.

"nakujaa madamu."niliitika kwa jaziba na kumfata aliponiitia.

"good evening madam"nilimsalimu kwa kimombo.

"aaaah na wewe salamu bongo, embu njoo hapa rudishia mlango...."
ITAENDELAAAAAAA

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +