Pages

Wednesday, April 10, 2019

AISIIIII……….U KILL ME 12........ ONLY 18+

ILIPOISHIA
Marima alizungumza kwa sauti ya kunong’oneza, huku akizidi kuishika mbo** yangu iliyo simama vilivyo. Kabla hata hatujaanza mtanange, mlango wa bafuni ukagongwa na tukajikuta wote tukiutazama.
“Kuna mtu”
Sauti ya mama Mariam ilisikika hapo ndipo woga wote ukatujaa, kila mmoja akapatwa na kigugumizi, mashamsham yote ya Mariam yakamuisha kwa jinsi kifua chale alivyo kikutanisha na kifua changu niliweza kuyasikia mapigo yake ya moyo jinsi yanavyo dunda kwa kasi, kiasi kwamba nikabaki nikiwa sijui cha kufanya.

ENDELEA
“Kuna mtu”
Mama Mariam alizungumza huku akigonga mlango.
“Ndio mama”
Mariam akajibu kwa haraka huku akisikilizia ni kitu gani ambacho mama yake anaweza kukizungumza.
“Sasa na wewe muda wote ninauliza umekaa kimya”
“Sikukusikia bwana”
“Haya oga haraka na utoke wezako tunataka kuingia”
“Sawa”
Tukasikia miguu ya mama Mariam akitembea, na kuondoka mlangoni hapo. Hata hamu ya kuendelea na tulicho kuwa tumekikusudia kuendela kikatuishia. Kwa haraka Mariam akajitoasa kwenye maji, akaoga haraka haraka kwa kuitumia sabuni yangu. Alipo hakikisha amameliza kuoga akanitazama.
“Wewe baki humu ngoja nichungulie hapo nje”
Mariam alizungumza huku taratibu akifungua kitasa cha mlango huu wa bafuni, akachungulia nje, kisha akanitazama.
“Hakuna mtu mimi nninakwenda zangu”
“Poa”
Akajifunga tenge lake, na kutoka kisha mimi nikaufunga mlango kwa ndani. Kidogo amani ikapatikana kwenye moyo wangu. Nikajimwagia maji kwa uangalifu nisitoneshe kidonda changu cha mgongoni, nilipo maliza kuoga nikatoka bafuni na kukutana na mama Marim akiwa anatoka kwenye mlango wa uwani. Tukatazamana, akanikonyeza huku akitabasamu hapo ndipo nilipo amini kwamba hakuweza kustukia jambo lolote lililo tokea bafuni.
“Dany usisahau kuacha mlango wazi”
“Poa”
Mama Marim alizungumza kwa sauti ya kunong’oneza huku akinipita na khanga moja aliyo jifunga kiunoni, kwa jicho la kuibia ibia nikalitazama kalio lake jinsi linavyo tingishika kama simu yenye vibration.
‘Leo nitakuonyesha’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimsindikiza kwa macho hayo hadi akaingia bafuni. Nikaingia ndani kwangu, nikastuka kumkuta Mariam akiwa amekaa kwenye sofa na tenge lake.
“Dany naomba kidogo mama kaenda kuoga”
“Mariam hapana bwana ninakuomba utoke chumbani kwangu”
“Jamani Dany nionee huruma, please”
“Mariam toka sasa hivi, kama unataka kuniudhi endelea kukaa humu ndani. Hivi bafuni bado nusu tufumaniwe na huku pia unataka tufumaniwe, hembu acha upuzi wako bwana”
Ilinibidi kuzungumza kwa ukali kwa maana tunapo elekea mimi na Marim ni kwenda kukamatwa, hata kama nina mpenda kwa kiasi kikubwa ila bado sijafikiria mahusiano yetu yaanze kwa njia ya kukamatwa kamatwa. Marim kwa unyonge akanyanyuka kwenye sofa, akanitazama usoni kwa sura ya huzuni, ila nikamkunjia sura kumuonyesha dhairi kwamba lile ninalo lizungumza si jambo la masihara.
“Nitakupigia simu kesho sawa”
Mariam akatingisha kichwa, akachungulia mlangoni, alipo ona hakuna mtu akatoka na mimi nikaufunga mlango wangu kwa ndani.
“Eheee Mungu wangu, nini tena hii?”
Nilizungumza huku nikikaa kitandani, sikujua yeye na mama yake ni kwa nini wamaemua kujiingiza kwenye mahusiano na mimi. Nikafungulia mziki kwenye redio nataratibu nikaanza kusikiliza miziki hiyo ya R and B, iliyo ibwa na nguli wa muziki huyo kutoka nchini Marekani R Kell.
Sikupata usingizi kabisa, nikawa ninamsubiria Mama Maria, ilipo simu saa sita kasoro nikafungua mlango wangu na kuurudishia kidogo. Nyumba nzima iliweza kutulia kutokana na watu kulala. Ile inafika saa sita na dakika moja, mama Mariam akaingia chumbani kwangu akiwa amefalia kigauni cha kulalalia, kinacho onyesha chupi ya bikini, inayo endana kabisa na kagauni hako. Yeye mwenyewe akaufunga mlango kwa ndani.
“Nilijua umelala?”
“Hapana nipo macho bado”
Mama Mariam akanifwata kitandani na kukaa pembeni yangu. Akalitazama jeraha langu la mgongoni kwa umakini.
“Linauma sana?”
“Yaaa”
“Una asali ndani kwako?”
“Ndio, unataka ya nini?”
“Nataka nikupake, hadi asubuhi kidonda kitakuwa kimesha kauka”
“Chukua hapo kwenye kitray cha vyombo”
Mama Mariam akanyanyuka kitandani na kuchukua chupa ya asali. Akaniomba nilale kifudifudi, nikalala. Akanza kunipaka asali hiyo taratibu kwenye kidonda changu.
“Unajisikiaje”
“Afadhali kidogo”
Akamaliza zoezi hilo kisha, akaniomba nikae, nilipo kaa akasimama mbele yangu na kunifungua taulo ambalo nilijifunga tangu nitoke bafuni. Akaminini kiasi cha asali kwenye kiganja chake, kisha akaanza kuipaka katika jogoo wangu taratibu, aliye anza kusimama.
“Dany hivi siku zote ulikuwa wapi?”
“Kwa nini?”
“Najuta sikukufahamu mapema, kwa maana raha zako zijawahi kuzipata kwa manamke wa aina yoyote ile”
“Hahaa usijali”
Mama Mariam akaanza kumchua jogoo wangu, aliye simama tayari. Akaendelea kufanya hivyo kwa kuitumia asali hiyo. Alipo hakikisha kwamba imetapakaa vizuri katika jogoo wangu na makend** yangu. Akaanza kuvinyonya kwa pamoja huku akitoa miguno ya taratibu. Mama Marim akaanza kuyanyonya makend** yangu na kunifanya nisisimke kwa kiasi kikubwa sana.
“Mmmmm ma…maa”
Niliguna nikisikilizia raha ya kunyonywa kend** kwa maana anayavuta vuta kwa lipsi zake, kiasi kwamba kila anacho kifanya ninazidi kupagwa. Mama Mariam akasmama na kuvua kigauni chake hicho cha rangi nyekundu, akavua na kibikini chake na kukitupia kwenye sofa. Akachukua chupa ya asali na kunikabidhi.
“Nimwagine huku”
Mama Mariam alizungumza hukua akinigeuzia makali yake makubwa, akainama, kisha akanitingishia makalio kidogo. Nikajikuta mimi mwenyewe nikimwagia asali hiyo kwenye mstari wa katikati uliyo yagawanyisha makalio yake. Kwa jinsi asali hiyo inavyo shuka taratibu kwenye mstari huo, ndivyo jinsi mama Mariam alivyo zidi kutatingisha makalio yake hayo ambayo ni makubwa hadi raha.
Nikayashika vizuri, japo nina maumivu kwenye viganja vyangu ila nikayashika na kutapanua vizuri asali hiyo izidi kushuka.
Taratibu nikaanza kuushusha ulimi wangu kwenye mstari huo, nikaufikisha hadi kwenye mkund** hapo nikaanza kuuzungusha kwa mtindo ulio mfanya mama Mariam kuanza kutoa miguno iliyo zidi kunipa hamasa ya kuzidi kumnyonya sehemu hiyo. Nikaona haitoshi nikaushusha ulimi wangu hadi karibu kabisa na kum** yake. Nikaanza kuuchezesha kwenye kisimi chake, mama Mariam alitoa miguno na vilio vya chini chini. Kwa kutumia kidole changu gumba cha mkono wa kulia, nikaanza kukizungusha juu ya mkund** wake huku nikipatemea mate mara kadhaa.
“Ohoooo aaaisisssssss mmmmmm Da…..aaaa…….ny”
Nikakizidi kukizungusha kidole changu, huku nikiendelea kuchezesha ulimi wangu kwenye kisimi, ambacho kimekolea utamu wa asali iliyo shuka hadi eneo hilo. Taratibu hisia za mchezo ambao K2 ameanza kunizoesha ukaanza kunijia kichwani mwangu, nikatamani sana, kukiingiza kidole changu gumba katika mkund** wa mama Mariam, ila nafsi yangu ikawa inasita. Kila nilivyo zidi kukisugua kidole gumba changu juu mkund** wa mama Mariam, ndivyo alivyo zidi kuyatingisha makalio yake hukua akiwa ameendelea kuinama na kurudi rudi nyuma. Taratibu nikajikuta kidole changu hicho kikiingia kwenye mkund** wake. Mama Mariam hakustuka wala kulalama, alizidi kutatingisha makalio yake tena kwa kasi kubwa.
‘Kumbe huyu naye ni wale wale’
Niliwaza akilini mwangu, huku nikitatazama makalio hayo ya mama Mariam jinsi yanavyo kwenda kwa kasi ya ajabu.
“Dany”
“Mmmm”
“Nifi……”
Mama Mariam aliishia hapo, na kulikatisha neno lake hilo, ambalo alihisi linaweza kwenda kunikera. Mama Mariam akasimama, na kukifanya kidole gumba changu kuchomoka. Akaanza kuyatingisha makalio yake huku akikatika kiuno sikujua lengo lake ni nini kufanya hivyo.
Akageuka na kuyabana maziwa yake kwa pamoja kisha akachuchumaa, akamgandamiza jogoo wangu na maziwa yake na kuanza uchuaji mwingine ulio nishangaza.
“Ohoooo”
Nilitoa mguno, mama Marima akanyanyuka kisha akanishika mkono na kuninyanyua, akaniomba nisimame kisha yeye akainama na na kushika mwanzo wa kitanda, nikajua adhima yake nikamsogelea karibu yake, akamshika jogoo wangu na kumuingiza kwenye kitumbua chake. Mama Mariam akaanza mautundu yake ya kukata kiuno kiasi kwamba si mwana mama mwenye umri mkubwa kiasi ila matendo yake ni kama binti mbichi kabisa wa miaka ishirini na kitu. Mtanange ukazidi kutawala, huku huduma kubwa akiifanya mama Mariam, kwa maana mimi bado nina majeraha tena hili kubwa la mgongoni kwa mara kadhaa liliniuma pale nilipo jaribu kujikunja ili kuweka mikao mizito ya kumpagawisha mama Mariam.
“Dany mbo** yako ni tamu sana”
Mama Marim alizungumza mara baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza, nikatazama saa yangu ya ukutani nikakuta ni saa saba na robo usiku.
“Asante, ila kesho nina safari”
“Ya wapi tena wakati unaumwa?”
“Nataka kwenda Tanga nyumbani kusalimia”
“Mmmmm jamani Dany sasa utamu huu nitaupata wapi tena?”
“Si nitarudi, kwani ninakwenda kuhamia huko”
“Mmmm haya mwaya, ila nitauomba unipe mechi ya mwisho mwisho basi”
“Nimechoka kusema kweli”
“Mmmmm, japo kiu yangu imekata, ila kila nikiutazama mtaimbo wako basi mwili mzima unasisimka na kujikuta nikiutamani tena”
“Usijali, ngoja nipone, ndio utanifaidi vizuri”
“Kweli pona kwanza honey wangu, unipe ile mikunjo yako ya kunigusa kizazi, hadi nikazimia”
“Hahaaa usijali”
Mama Marima, akaonekana kunipenda sana. Hata mazungumzo yake yaoanyesha ni mwanamke ambaye hapendi kabisa kuona mali yake inachukuliwa na mtu mwengine.
“Yaani kwa raha hizi, Dany hapa kwangu kuanzia sasa utakuwa unaishi bure”
“Heeeee kweli?”
“Ndio, yaani sitaki nikugasi uje kuondoka, humu ndnai kwangu”
Tukazungumza mambo mengi, huku mama Marima akiniadisia maisha yake ya nyuma. Ilipo timu saa nane na nusu usiku, akaanza kuvaa kagauni kake pamoja na kibikini kake, kisha akaniomba aondoke na kwenda kulala. Nikaruhusu, tukapigana mabusu mazito mazito, taratibu akanyanyuka na kuufungua kitasa taratibu, nikachungulia kwenye kordo sikuona mtu, kwa ishara nikamuita mama Mariam hadi akanifwata mlangoni, naye akachungulia kwenye kordo kwa kufunua pazia lango alipo ona kuna ukimya na milango yote imefungwa, akatoka na moja kwa moja akaelekea kwenye mlango wa uwani ambapo akafungua na kueleka bafuni na kuniacha mimi nikiufunga mlango wa chumbani kwangu.
Nikiwa bado sijalala, nikamsikia mama Mariam akifunga mlango wa uwani na moja kwa moja akieleka chumbani kwake. Kutokana na kuchoka kidogo nikajikuta nikipitiwa na usingizi nikiwa nimejilaza kwenye sofa langu. Majira ya saa kumi na mbili kasoro nikastushwa na mngurumo wa vibration uliopo kwenye simu yangu iliyopo mezani. Nikaichukua na kukuta ni K2 ndio anaye nipigia, taratibu nikaichukua na kuipokea.
“Umeamkaje mpenzi wangu?”
“Nimeamka poa vipi wewe?”
“Ahaa mimi nipo safi, najiandaa kwenda kazini vipi dereva amefika?”
“Mmmm hapana, na simu yako ndio imeniamsha”
“Basi ngoja nimpigie, jiandae akupeleke safari”
“Sawa honey”
“I love you”
“I love you too”
K2 akakata simu, taratibu nikajinyanyua kwenye sofa langu nikiwa sina hata nguo moja, nikatafua taulo langu lilipo, nikalichukua na kujifunga kiunoni. Nikachukua mswaki na kuweka dawa kiasi, nikatafuta ni wapi ilipo sabuni yangu nikatoka na kuelekea bafuni. Nikaoga kisha nikapiga mswaki na kutoka bafuni humo.
Kuingia ndani kwangu nikakuta simu yangu ikiita na kukuta ni Hassani akinipigia, nikaipokea akanijulisha yupo njiani anakuja, kwa haraka haraka nikajiandaa, nilipo maliza tu akanipigia simu tena na kunifahamisha kwamba yupo nje. Nikabeba begi langu, nikatoka na kufunga chumba changu, nikiwa kwenye kordo nikakutana na Mariam akitoka kuamka huku akiwa amejifunga, tenge moja. Alipo niona kwa haraka akaja kunikumbatia, joto lake likapenya kwenye mwili wangu na kujikuta nikisisimka. Tukiwa bado tumekumbatiana nikasikia mlango wa chumba cha mama Mariam ukifunguliwa, ikionyesha kwamba ndio anatoka chumbani kwake.
ITAENDELEA

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +