Pages

Saturday, April 6, 2019

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, inabidi unisubiri mwembeni saa 1 usiku nitapita, mzee akafika saa 1 alikaa hadi saa 5 usiku, aliporudi nyumbani akamuuliza mkewe kwa hasira; sasa tumepanga nin halafu haujatokea ?

Mke; leo mama alinikataza nictoke nyumbani usiku nijisomee ! Babu hoii…

😂😂 😂 😂😂

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +