Pages

Wednesday, April 3, 2019

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujasoma ni kiasi gani hicho cha fedha na mbaya zaidi hujagundua kwamba katikati ya namba hizo kuna herufi A… safi sana, najua umeangalia tena kuiona hiyo herufi, bahati mbaya hujaiona. 😜😜😜😜😜😜😜

πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +