Pages

Thursday, April 25, 2019

VICHEKESHO VIPYA BORA SASA

Utani kwa wadada wembamba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mnatupa tabu kusoma maneno ya kwenye kanga jamanii ………mnaviringisha kanga mwili mara 3 mpaka maandishii hayaonekanii
🤣🤣🤣🤣

😂😂 😂 😂😂

-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

 Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!


Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
kisha halafu akamuuliza "Samahani dada
unaitwa Google?".
Dada: "hapana, kwanini umedhani naitwa
hivyo?". Jamaa: "Una kila kitu nnachokitafuta
"😅😃😃😃😃😃😃😃😃😃

😂😂 😂 😂😂

------------------------------------------------------------------------------------------------------

Nimeitoa sehemu
If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: Sixty six,
55 is: Fifty five,
44 is: Forty four,
33 is: Thirty three,
22 is: Twenty two,
Why 11 not Onety one?

Wazungu msitufanye Vilaza….!! 😂 😂 😂 😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Mungu anawaona

Nmeitoa sehem

😂😂 😂 😂😂

--------------------------------------------------------------------------------------------

 Ukata wa January
UKATA WA JANUARY
Boss;- kwa nini umechelewa kazini
Juma;- kuna mtu njiani alidondosha elfu1
Boss;- ohhoh kwa hiyo ulikuwaunamsaidia kuitafuta
Juma;- hapana nilikuwa nimeikanyaga

😃😃😃😃😃😃😃😂😂😂😂😂😂😂

😂😂 😂 😂😂

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +