Pages

Wednesday, May 15, 2019

AISIIIII……….U KILL ME 22........ ONLY 18+

ILIPOISHIA
Nikafungua mlango wa chumba cha daktari kimya kimya, kwenye kiti cha daktari huyo kipo kitupu, ila nilipo tazama kwenye pazia lilizo ziba kitanda hicho nikasikia miguno miguno. Kwa utaratibu nikanyata hadi kwenye pazia hilo, taratibu nikalifungua huku bastola yangu ikiwa mkononi mwangu. Sikuamini macho yangu, baada ya kumkuta nesi, daktari na Yudia aliye lala kitandani akiwa hajitambui wakiwa uchi kabisa. Daktari akimtomb** nesi wake, huku nesi wake akinyonya kitumbua cha Yudia, huku wawili hao wakionekana kuwa na furaha sana kwa kitendo hicho

ENDELEA
“Hii ndio kazi niliyo kupa”
Nilizungumza kwa sauti nzito na kumfanya dokta na mzee wake kustuka na kuachiana pale walipo niona ni mimi. Wote wakanikodolea macho huku wakionekana kushangazwa sana uwepo wangu. Miili yao dhairi nikaiona jinsi inavyo tetemeka kwa woga.
Daktari akayashusha macho yake hadi kwenye kiganja changu cha mkono wa kulia nilipo ishika bastola yangu, hapo ndipo woga ulipo mzidi hadi akajikuta akipiga magoti chini akiwa hivyo hivyo ajavaa kitu chochote mwilini mwake.
“Ohooo tusameee sieeeee”
Daktari alizungumza huku machozi yakimwagika na uzee wake sikutegemea kabisa kwamba anaweza kufanya vitu vya kijinga vya namna hii. Nikamtazama Yudia aliye lala kitandani nikatambua dhairi kwamba hajui kitu kinacho endelea. Nesi huyo akaanza kumwagikwa na haja ndogo pale nilipo ishika vizuri bastola yangu.
“Tusameee sieee ni shetani tu alitupitia”
Mzee hyo aliendela kuzungumza. Sikuwa na kitu cha kuzungumza zidi ya kuwakazia macho, kwa ishara nikamuamrisha daktari kusimama. Akasimama kwa kasi huku akwia amejikakamaza kama afande aliye muona mkuu wake.
“Mumemuhudumia mgonjwa wangu?”
“Ndio mkuu, ndio mkuu”
“Vaeni nguo zenu, nakusubiria huku”
Nikatoka ofisini kwake na kukaa kwenye kiti na kumsubiri, hazikupita hata dakika mbili daktari akatoka huku akiwa anamalizia kuufunga mkanda wa suruali yake. Akasimama mbele yangu kwa adabu kubwa sana. Sikuificha bastola yangu kwa kuamini kwamba ndio kitu anacho kiogopo daktari huyo na kwa sasa ninaweza kumuamrisha kitu chochote na anakifwata.
“Huyo mwenzako yupo wapi?”
“Yupo ndani mkuu”
“Muite sasa”
“Wewe toka bwana unafanya nini huko”
Daktari alimkoromea nesi wake huyo ambaye alitoka huku akiwa tayari amesha vaa gauni lake. Nikamtazama kuanzi juu hadi chini.
“Leo nimekuta mimi, ninawasemehe ila kesho anaweza kuwakuta kiongozi wa kiserikali, unahisi hii hospitali yako itakuwa katika mazingira gani?”
“Itafungiwa mkuu”
“Nani alitoa wazo la kumshirikisha mgonjwa wangu kwenye upuuzi wenu huo?”
Wote waka kaa kimya, nikaikoki bastola yangu kwa kuwatisha, mlio huo mdogo ukawafanya kuchachawa huku kila mmoja akimnyooshea mwenzake kidole kwa woga.
“Sasa natoa amri, mgonjwa wangu aishi kwa maficho ndani ya hospitali hii hii, sinto hitaji mtu hata mmoja kuweza kufahamu kwamba yupo hapa. Laiti ikitokea mtu akifahamu basi vichwa vnyenu vitaingia risasi za bastola hii”
Nilizungumza huku nikiwa nimesimama, daktari na nesi huyo wakaitikia kwa kutingisha kichwa wakimaanisha kwamba wameelewana na kile nilicho kizungumza.
“Chakula vinjwaji vyote vitakuwa juu yenu, sasa ole wenu mgonjwa wangu apate tatizo, kifo kitabaki pale pale sawa”
“Sawa sawa”
Daktari akazungumza huku akinitumbulia macho. Nikawatazama kwa macho ya kuwatisha kila mmoja akajifumbata kama kifaranga kilicho nyeshewa na mvua.
“Asubuhi njema”
Nikatoka ofisini na kuelekea nje lilipo gari langu, nikaingia na kueleka hadi kwenye hoteli ya Panori nikalipia chumba kimoja, muhudumu akanipatia ufunguo na nikaeleka katika chumba hicho. Baada ya mlango wa kuingilia ndani ya chumba hichi, nikakichunguza kwa haraka ili kuweza kutambua kwamba kinausalama, nikakikuta kina usalama wa kutosha.
Nikafunga mlango wangu kwa ndani kwa kutumia funguo niliyo pewa na muhudum na kutoa bastola yangu nikaiweka mezani, kisha ni nikatoa simu yanu na kumpigia Joseph. Simu ya Joseph ikaita kwa muda na kukata. Kutokana nina kaharufu ka damu za Yudia zilizo nimwagikia na kukaukia kwneye tisheti yangu, nikavua nguo zangu na kuibeba tisheti yangu na kuingia nayo bafuni. Nikaanza kuoga huku mawazo mengi yakitawala kichwa changu nikijaribu kujiuliza ni kitu gani ambacho ninaweza kukifanya kwa wakati huu. Sikuwa na jibu lolote lililo tokea kichwani mwangu. Nilipo maliza kuooga, nikaifua tisheti yangu, nilipo ridhika na kufua kwangu nikaianika bafuni humu humu juu ya bomba la mvua.
Nikatoka bafuni huku nikiwa kama nilivyo zaliwa, nikachukua taulo na kuanza kufuta maji sehemu mbali mbali za mwili wangu huku kwenye kidonda changu nikiwa makini sana kuhakikisha sikitoneshi, kwa mana bado kina maumivu kwa mbali. Nikajifunga taulo hilo na kukaa kitandani, nikaichukua simu yangu juu ya meza na kurudia tena kuipiga namba ya Joseph, ikaita pasipo kupokelwa.
“Halooo Dany”
Nikasikia sauti nyuma yangu, kwa haraka nikakurupuka na kuiwahi bastola yangu mezani, na kutazama ni nani anaye niita. Nikakutaana na dada mwenye asili ya kiarabu, aliye valia gauni refu jeupa, huku nywele zake akiwa ameziweka katika mtindo ambao unamfanya apendeze sana.
“Wewe ni nani na umeingiaje humu chumbani kwangu ikiwa nimeufunga mlango wangu?”
Niliuliza huku nikiwa nimemnyoosha bastola, dada huyo aliye simama kwenye kona ya chumba hichi, hakuonyesha kuogopa wala kushangaa bastola yangu niliyo msikia. Ndio kwanza akaachia tabasamu pana na kicheko cha kejeli kidogo. Akanipandisha na kunishusha na kuanza kupiga hatua kukifwata kitanda.
“Simama hapo hapo, nitakuchangua ubongo, jibu swali langu kabla hali ya hewa haijachafuka humu ndani”
“Sawali, kwani kuna swali umeniuliza”
Alizungumza huku akikaa kitandani, mapasuo wa gauni lake hilo, likaonyesha paja lake lililo pana na lililo nona kwa unene wake.
“Usiniletee dharau za kijinga umelisikia swali langu, wewe ni nani?”
“Ohooo unataka kunifahamu mimi ni nani?”
“Ndio”
“Mmmm…..Ngoja nianze kujitambulisha jina langu, ninaitwa OLVIA. OLIVIA HITLER”
“Olvia Hitler?”
Niliuliza kwa mshangao mkubwa sana kwa maana jina hilo sio mara yangu ya kwanza kuweza kulisikia, na kipindi nilipo kuwa mdogo marehemu baba aliweza kutuadisia mimi na mama kwamba rafiki yake ambaye nina mumita baba mkubwa Eddy, anasumbuliwa na jini linalo itwa Olvia Hitler.
“Naamini jina langu sio geni sana kichwani mwako?”
“Ndio sio geni, unataka nini?”
“Nimekuwa nikikulinda tangu ulipo toka nyumbani kwa Eddy, hadi unafika hapa hotelini, nikaona sio mbaya nikakupa salamu japo ujue kila unalo kifanya basi kuna kiumnbe kina kulinda”
Japo nimeshika bastola yangu ila mikono, miguu vyote vina nitetemeka. Ujanja wangu wote umeniishia ujasiri wote umekwisha. Simu yangu ikaita na sote tukabaki tukiwa tunaitazama simu hiyo.
“Poke ni Joseph anapiga, anataka kukuuliza ni kitu gani unacho hitaji.”
Sehemu ambayo simu ipo ni vigumu sisi sote kuweza kufahamu ni nani anaye piga ila yeye amefahamu mtu anaye piga.
“Kabla ya kupokea, muombe namba ya raisi”
“Namba ya raisi?”
“Ndio kisha nitakuambia nini cha kufanya”
Taratibu nikaisogelea simu yangu ilipo, huku bastola yangu nikiwa bado nimemuelekezea Olvia Hitler. Nikaichukua taratibu na kuitazama, nikakuta ni Joseph ndio anaye piga, nikaipokea na kuiweka sikioni.
“Dany vipi?”
“Safi za asubuhi?”
“Safi kaka, samahani sikuweza kuisikia simu yako, nilikuwa nimelala”
“Usijali kwa hilo. Nina shida moja naomba unisaidie”
“Shida gani kaka?”
“Ninaiomba namba ya simu ya raisi”
“Namba ya raisi kuna nini huko?”
“Wewe naomba nitakufahamisha ndugu yangu”
“Sawa, ila nakuomba usinitaje kwamba mimi ndio nimekupatia”
“Sawa ndugu”
Joseph akakata simu na mimi nikabaki nikiishusha taratibu huku nikimtazama Olvia Hitler.
“Utaendelea kunishikia bastola yako hadi saa ngapi?”
“Hilo halikuuhusu”
“Ohoo, ok tuangalie kama halinihusu”
Kufumba na kufumbua nikajikuta bastola yangu ikinipokonya na Olvia akawa ameishika akiwa kitandani, sikujua ametumia njia gani kuweza kunipokonya bastola yangu.
“Hapo je inanihusu au hainiusu?”
Sikuwa na jibu la kuzungumza, nikiwa bado katika kushangaa shangaa simu yangu ikaingia meseji, nikaifungua na kukuta namba ya raisi niiyo tumia.
“Amesha kutumia, sasa mpigie raisi na umuambie mipango yote inayo endesha na meya pamoja na mkuu wa mkoa. Muambia raisi kwamba aweze kufunga safari leo na aje kupitia boti kwenye bahari na wewe ndio ukawe mtu wa kumpokea”
“Hivi unahisi atanielewa kweli na kuniamini?”
“Ndio nitamfanya akuelewe”
Nikamtazama Olvia Hitler huku nikipiga namba ya raisi na kuiweka sikioni. Simu ikaanza kuita taratibu, hazikupita sekunde nyingi simu ikapokelewa.
“Halooo”
Niliisikia sauti ya raisi hapo ndipo nikaamini na kitambua kwamba ni raisi mwenyewe anaye zungumza kwa muda huu.
“Shikamoo muheshimiwa raisi. Unazungumza na Daniel agnent wa NSS 008”
“Marahaba nikusaidie nini kijana?”
“Kuna taarifa ambazo ninapenda kuzifikisha kwako moja kwa moja pasipo kupitia kwa wakuu wangu. Hizi taarifa ni kuhusiana na usalama wa safari nzima ya hapo kesho kuja jijini Tanga”
“Ndio nakusikiliza”
“Kuna mpango wa siri wa viongozi wakuu, walio panga kukuua katika dhiara yako uliyo panga kuja Tanga, nimeweza kuwata taariafa viongozi wangu wa ngazi za juu ila sijaona kitu chochote kilicho weza kuchukuliwa hatua zaidi ya kuwaona viongozi hao wakijaribu kuungana na hao walio panga kukuangamiza”
“Kijana unayo yazungumza yana ushahidi?”
“Ndio muheshimiwa, ninaweza kukutumia kupitia nji ya whatsapp sasa hivi”
“Sawa nipigie niupitie kisha nitakupigia”
“Sawa muheshimiwa”
Nikakata simuu na kuanza kutuma picha na sauti niliyo irekodi kwenye simu ya raisi. Ndani ya dakika vitu vyote vikapigiwa tiki la rangi ya bluu ikiashiria kwamba vimepokelewa.
“Umepa nyaraka za mama yako?”
Olvia Hitler aliniuliza huku akinitumbulia macho.
“Sijazipata”
“Unategemea nini wakati raisi wako anakuja kesho?”
“Sijajua ni wapi ya kuzipata”
Olvia HIteler akanyamaza kimya akionekana kufikiria kitu. Akanyanyua kichwa chake na kunitazama kisha akaanza kuzungumza.
“Nyaraka hizo zimefichwa ofisini kwa meya, kwenye meza yake anyo kalia kwenye faili la chini kabisa hapo ndipo zilipo”
“Sasa nitaweza kuzipata vipi?”
“Wewe ni mpelelezi hapo tena unaniuliza utazipata vipi, nisha kupa njia ya kuweza kuzipata kabla ya kufanya mengine nenda kazichukue sawa”
“Sawa”
Simu yangu ikaita nilipo itazama kwenye kioo chake nikakuta ni raisi ndio anaye nipigia. Nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Asante sana kijana, sa…..sasa hapa umepanga nini au nisije kabisa Tanga?”
Raisi alizungumza kwa kubabaika sana, kitendo kilicho nishangaza hata mimi mwneywe.
“Hapana dhiara yoko iwe pale pele muheshimiwa, ila ninacho kuomba uweze kuondoka Dar es Salaamu kupitia botii usiku wa leo. Ondoka na walinzi wako unao waamini ukisha fika Tanga mimi ndio ninakaye kupokea katika ufukwe wa Mwambani”
“Sawa sawa kijana nitafanya hivyo na msafara wangu wa kesho je?”
“Awepo raisi feki ambaye anaweza hata kuvalishwa sura ya bandia”
“Basi nitafanya hivyo kijana asante sana na Mungu akubariki”
“Asante muheshimiwa”
Simu ikakatwa, Olvia Hitler akaachia tabasamu pana kisha akanyanyuka kitandani na kunisokela sehemu nilipo simama, akalifungua taulo langu na kunishika jogoo wangu na kumninya taratibu, kitu kilicho ufanya mwili wangu mzima kusisimka kupita hata nilivyo wahi kushikwa na mwanamke yoyote kwenye maisha yangu.
ITAENDELEA

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +