Pages

Saturday, May 18, 2019

AISIIIII……….U KILL ME 24........ ONLY 18+

ILIPOISHIA
“Mauaji!!?”
“Ndio mida ya saa mbili hivi tulisikia milio ya risasi, watu wote tulitawanyika tuliokuwa karibu na eneo hili. Ndio hivi tumerudi rudi kutazama ni kitu gani kimetokea na kukuta watu wamuawa humo ndani”
Kusikia hivyo sikutaka kuendelea kumuuliza kijana huyo maswali zaidi ya kuingia hospitalini hapo. Huku akili yangu ikiwa inamfikiria Yudia pekee. KKweli damu nyingi nikazikuta kwente kirdo ya kuingia kwenye hospitali. Nikakimbilia hadi kwenye chumba alipokuwa Yudia, nikakuta nesi ambaye nilimkuta wakitomban** na daktari akiwa ameuwawa kwa kupigwa risasi za kifua. Daktari na Yudia sikuweza kuwaona kitu kilicho zidi kuniumiza kichwa na kunichanganya.

ENDELEA
Kitanda ambacho kipo ndani ya chumba hicho hakikuwa namtu. Nikatoka huku bastola yangu nikiwa nimeishika mkononi. Nikaanza kuchunguza chumba kimoja baada ya kingine. Vyumba vyote vya hospitali hii havikuwa na mtu hata mmoja.
Nikarudi kwenye kordo ambapo kuna damu nyingi ila mwili wa mtu aliye uliwa haupo eneo hili na hakuna michirizi yoyote ya damu inayo onyesha ni wapi alipo elekea mtu huyo aliye uwawa.
Nikiwa hapo nikasikia ving’ora vya gari za polisi wakiwa ndio wanafika katika eneo hili, nikairudisha bastola yangu nilipo itoa na kutoka nje. Wanaanchi walio kuwa katika eneo hili wakaanza kuwazomea askari hao, walio chelewa kufika katika eneo la tukio.
“Askari wengine bwana, tukio limesha isha ndio wanaleta mabichwa yao hapa”
Mama mmoja alizungumza kwa hasira huku akimtazama askari mmoja mweusi na mwenye kichwa kikubwa kidogo.
“Kaeni pembeni”
Askari huyo alizungumza huku akiwaambia wamama hao walio kaa kikundi.
“Twende wapi, sasa hivi ndio unahisi kuna kukaa pembeni”
“Mama angalia kauli zako hizo”
“Tatizo lenu hampendi kuambiwa ukweli. Majambazi wamekuja hapa wamemchukua ngonjwa na daktari nyinyi ndio munakuja, sasa munakuja kufanya nini sasa”
Mama huyo ambaye anaonekana kuto kuogopa chochote kabisa, alizidi kuzungumza kwa hasira na kutufanya watu karibi wote kumtazama yeye na kumsikilza anacho kizungumza. Hapo ndipo akwa amenifungua akili kwamba majambazi walio kuja kuvamia hapa hospitalini ni wale ambao walitumwa kumtafuta Yudia ni wapi alipo.
“Na kesho raisi si anakuja, lalamiko la kwanza kwetu ni kuwabadilisha polisi wote, walio oza oza kama wewe. Tazama bichwa lako”
Maneno ya mama huyo yakamkasirisha sana askari huyo akatisha kama anampiga mama huyo aliye msogelea askari huyo kwa ukaribu.
“Weee wee niguse uone nigusee”
Askari huyo akajikuta akinywea, na wamama wengine wakamuunga mwenzao kwa kumzoea askari huyo aliye jikuta akiingia dani hospitalini. Nikarudi kwenye gari langu huku nikiwa na mawazo mengi sana sikujua nifanye nini kwa wakati huu. Simu yangu ikanitoa kwenye mawazo, nikaangalia simu yangu na kukuta ni Luka, ananipigia, nikaipokea simu na kuiweka sikioni.
“Kaka?”
“Niambie”
“Sisi tumesha ingia Tanga”
“Mupo wapi kwa sasa”
“Tumefikia kwenye hoteli moja wanaiita Nyinda, ipo hapa kwa Minchi”
“Ok sawa nitafika hapo muda si mrefu”
“Poa poa kaka”
Nikawasha gari langu na kuondoka huku akilini mwangu nikiwa na mawazo mengi sana. Sikuwa na jinsi zaidi ya kuelekea kwenye hoteli hiyo. Nikafika na kutoa simu yangu nikampigia Luka, akapokea nikamuomba anielekeze chumba walipo. Alipo nitajia namba ya chumba nikashuka kwenye gari, nikalifunga na kueleka katika chumba hicho.
Nikagonga mlango wa chumba, ukafunguliwa na Luka, nikaingia na kumkuta akiwa na Latifa, akiwa ni mwenzetu katika kikosi cha upelelezi.
“Jamaa hajakuja?”
“Yaaa ratiba ilibadilika, K2 akaagiza nije na Latifa”
“Latifa unazidi kupendeza au ndio hayo marupurupu ya kazi?”
“Dany acha utoto, napendeza wapi?”
“Ahaaa nasikia una kibopa mmoja anakupa maisha matamu”
“Hhaaa acha hizo wewe”
Tulijikuta tukicheka sote, kwa maana nimesha zoea kutaniana na Latifa.
“Tupe taarifa”
Nikaanza kuwasikilizisha sauti nilizo zirekodi katika kikao ambacho mkuu wa mkoa pamoja na meya wanapanga kumuondoa raisi.
“Mmmmm, Dany mbona hii kazi ni nzito”
Luka alizungumza huku akinitumbulia macho, akaanza kupitia picha nilizo piga wasomali hao walio jipanga kwa ajili ya kumuondoa raisi.
“Wee acha tuu, hapa nilipo nimechoka kiseng**. Tangu jana sijalala”
“Ahaa kwa hali kama hii unadhani unaweza kulala. Sasa umezungumza na mkuu wa ulinzi wa msafara wa raisi?”
“Tena huyo mamaaee zake. Ni miongozi mwa hao waseng** hapo”
“Ahaa Dany sasa inakuwaje?”
“Nimezungumza na raisi, nimepa njia za kuweza kuonana naye, na ataingia leo usiku. Tutakwenda kumpokea sisi na ndio tutakao mlinda hadi anarudi Dar es Salaam”
“Weee sasa K2 si anaondoka na msafara kesho?”
“Msafara kesho utakuwepo kama kawaida ila atakuwepo raisi feki. Sasa mimi sijui ni watafanya vipi ila raisi wa msafara atakuwa ni feki”
“Hapo umecheza mwanetu”
“Ila kabla ya kwenda kumchukua raisi, ila hawa waseng** nilazima tuawapunguze mmmoja baada ya mingine”
“Mmmm si Al-Shabab hawa?”
“Ndio wenyewe”
“Ahaaa Dany mke wangu ana mimba bwana, unataka nife hata sijamuona mwanagu”
“Acha ukum** na wewe, angekuwa ni K2 amezungumza haya ungezungumza ujinga wako huo”
Ilinibidi kumfokea Luka kwa maana anazungumza vitu ambavyo sisi kama wapelelezi wa siri wa seriali hatutakiwa kuweza kuzungumza maneno kama hayo.
“Samahani”
Luka aliniomba msamaha kwa sauti ya kinyinge baada ya kugundua kwamba nimekasirika.
“Poa. Mpango wetu utaanza saa mbili usiku, kazi yetu tutaifanya kwa nusu saa tu. Tutavamia kwenye jumba lao hapo. Kuna watoto wambao wanaonekana wana ujuzi mkubwa sana katika kutengeneza mabomu. Hao tanatakiwa kuweza kuwaokoa”
Latifa na Luka wakaka kimya wakinitazama, kwa umakini kitu ambacho ninakizungumza kwa wakati huu.
“Baada ya kuwaokoa vijana hao. Luka utahusika katika swala la kuwalinda. Mimi na Latifa tutakwenda kumpokea raisi sehemu nilipo ahidi kuonana naye”
“Sawa”
“Kuna swali lolote munahitaji kuuliza?”
“Mimi hapa”
“Dany vipi tutatumia gari gani kwa maana kumbeba raisi inatakiwa kuwa ni jambo la siri sana na tukisha mchukua ni wapi tunamuweka kwa maana hatuwezi kukaa naye hotelini. Ukizingatia sura yake inajulikana pili anawindwa na maadui wengi?”
Swali la Latifa, likanifanya nikae kimya kwa sekunde na kufikiria ni kitu gani ambacho ninaweza kumjibu.
“Nitatafuta gari maalumu la kumchukulia sehemu ya kumpeleka mimi nitafahamu”
“Sawa, tumekuja na silaha za kutosha”
Luka alizungumza huku akifungua begi lililopo kitandani. Ndani ya begi kumejaa bastola nyingi pamoja na magazine. Huku kukiwa na viboksi vya risasi. Tukaanza kazi ya kujaza risasi magazine moja baada ya nyingine. Kazi yetu ikatuchukua lisaa zima tukawa tayari tumesha andaa bastola zipatazo kumi na mbili. Nikachukua bastola nne, Latifa na Luka waka nao wakachukua bastola nne nne. Huku kila mmoja akiwa na kiwambo cha kuzuia risasi, atakifunga pale tutakapo anza kazi yetu.
“Kisu?”
Latifa alininiuliza kama ninaweza kuchukua kisu ambacho ni cha kukunja, na tunavitumia kama silaha ya mwisho pale unapokuwa umeishiwa na risasi.
“Asante”
“Jamani nahisi ubao”
Luka alilalama akimaanisha kwamba anajihisi njaa.
“Latifa agiza chakula”
“Walete huku huku juu?”
“Ndio ua kuna ubaya?”
“Hapana”
Latifa akaisogelea simu iliyopo mezani, kabla hajapiga akatuuliza tunakula chakula gani. Tulipo mtajia chakula tunacho hitaji. AKapiga simu na kuzungumza na muhudumu aliye mtajia chakula tunacho kihitaji. Nikajitupa kitandani huku nikilala chali, kidogo nikasikia maumivu ya kidonda cha mgongoni kwa mbali.
“Baba kijacho, mke anajifungua lini?”
Nilimtania Luka, aliye kaa kwenye sofa akicheza game kwenye simu yake.
“Mwezi ujao”
“Duu hongera bwana”
“Asante”
“Luka mtoto wako akiwa wa kike atfanana na mimi”
“Mmmmm sitaji achukue sura ya kinyaturu hiyo”
“Weee achukue sura ya kinyaturu hii, atatokelezea bomba, au unanionaje?”
“Kwenda hukoo, kwani mimi mnyaturu. Mtoto akiwa wa kike anachukua sura yangu”
“Mamamaaaa sura lako lilivyo baya, atafanya mwanao asitongozwee”
Latifa alizungumza huku akicheka na kunifanya na mimi nicheke.
“Mamaaeeee mtu akimtongoza mwanangu nauaaa”
“Nyoo wewe huyo mkeo ulimpata mbinguni, si ulimtongoza”
“Ahaaahata kama mtoto si wangu?”
“Basi mle mwenyewe”
Utani wa Latifa na Luka, ukazidi kunipa furaha hata mawazo yakapungua pungua kidogo kichwani. Simu yangu ikaita, nikaitoa mfukoni na kukuta ni K2 ndio anaye piga.
“Heii nyamazeni K2 anapiga”
Wote wakaka kimya, nikaipokea simu na kuiweka sikioni.
“Vipi Luka na Latifa wamefika?”
“Ndio”
“Umesha onana nao?”
“Ndio bosi nipo nao hapa”
“Ahaa sawa sawa, nilisahau kukumbia kwamba Latifa ndio anye kuja huko”
“Sawa walisha nieleza hilo”
“Ahaa sawa sawa, jipya?”
“Hakuna bosi wangu”
“Ok baadae najua unaniita bosi mbele ya wezako hao”
“Hahaaa”
“Cheka tuu, ila si ndio ukweli”
“Yaa”
“Haya mwaye baadaye”
K2 akakata simu, nikairudisha mufukoni mwagu.
“Dany unacheka hivyo na K2, si alikubumua mkofi nasikia”
“Latifa hayo yalisha pitaga”
“Ila jamani kusema kweli K2 anatupekekesha. Mamaee zake jana kanipigia simu nikijiandaa kutombw** na mpenzi wangu, sikuwa na jinsi ya kuachana na mechi na kukutana na huyu ngedere Lukaa”
“Hahaaaaa, njoo nikutomb**”
“Kwenda huko, unataka kunipa mimba kama huyo mkeo”
“Ahaaa si napiga nje”
“Kama ni kunitomb** ungefanya jana kwenye gari. Ila ulivyo mseng** bichwa, mimacho na masikio yako yote uliyaweka barabarani”
“Hahaaa kwa hiyo hapo kidishi kimejaa?”
“Niachie miswali yako ya kipuuzi”
“Nuuliza, yupo bwana Dany hapa, naona yupo kimya, mpe yeye”
“Ahaaa mwanaume mzima unamuombea mwenzio kum**”
“Sasa si unaogopa shahawa zangu ni sumu zitakujaza mtoto. Tena nikimpata kutoka kwako atafanana na mimi”
“Hahaaaaaa na weusi huo utaniharibia mtoto. Dany nifwate mwaya achana na huyu Mkuria”
Latifa alizungumza huku akieleka bafuni, mimi na Luka tukabaki tukiwa tumetazamana. Luka kwa ishara akaniambia nielekee bafuni nikapewe mzigo.
“Baba changamka, toto la kinyaturu hilo. Litomb** hadi liombe pooo. Nendaa”
Luka alizungumza kwa sauti ya chini chini, nikajikuta nikinyanyuka na kueleka bafuni, nikaufungua mlango na kumkuta Latifa akiwa tayari amesha vua nguo zake huku kiganja cha mkono wake wa kulia ukisugua sugua mashavu ya kitumbua chake.
ITAENDELEA

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +