Pages

Friday, May 24, 2019

Mwanaume hafundishwi kupenda ila mwanamke hufundishwa



kama kichwa cha uzi kisomekavyo kiufupi naweza sema katika mahusiano ni mwanaume ndiye amfundishaye mwanamke kupenda kwa sababu zifuatazo

-Kwa asilimia kubwa katika mahusiano unakuta mwanaume kamtongoza mwanamke ambaye hakuwa na hisia juu ya mwanaume huyo ila mwanaume ndiye aliyekuwa na hisia za kimapenzi utakuta mwanamke anamkubali kwanza huyo mwanaume si kwa kumpenda ila tu kuna sababu mbalimbali kama vile kwa kujaribu tu kupima mwanaume huyo anaupendo kiasi gani sasa pale mwanaume atakapoonesha mapenzi motomoto mwisho unakuta mwanamke naye anakuja kwa kasi kumpenda huyo mwanaume na hapa ndio unakuja kuona a love graph reads inversely propotional kwasababu mwanaume atanza kushuka na mwanamke ataanza kupanda

- Mwanaume anaweza lialia na kubembeleza penzi kwa mwanamke ambaye hana hisia na huyo mwanaume mwishoe akamkubali na kumpenda lakini mwanamke kama hukupendwa na mwanaume umpendae hata ukajilizaje na kujitishia kujiua huyo mwanaume hawezi akampemda huyo mwamamke kamwe

-Mwanamke anaweza lazimishwa kuolewa na mwanaume asiyempenda kwa mwanzo ataona shida sana ila kwa baadae ataanza mpenda mumewe taratibu na mwisho anampenda mazima ila mwanaume mkimlazimisha kuoa mwanamke asiye mpenda atamnyanyasa tu hawezi kumpenda hata akaishi nae miaka mia

Namaliza kwa kusema 99% ya wanawake huolewa na wanaume wasio wapenda ila huwapenda kwa baadae na 99% ya wanaume huoa wanawake wawapendao

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +