Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 sasa. Ninasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mwaka wa pili.
Tatizo langu ni kwamba, kadri siku zinavyozidi kwenda nahisi kumpenda mmoja kati ya maprofesa wangu. Lakini hadi sasa ninachoona ni kwamba bado hajajua hisia zangu nifanyeje?
Saturday, May 11, 2019
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Write comments