Pages

Thursday, May 16, 2019

Nilisafiri na shemeji, kilichotokea naomba Mungu kaka asijue

Ni shemeji yangu mke wa kaka yangur, sijui lengo lake nini kwangu tunaheshimiana vya kutosha sina utani nae hata kidogo. Ni mfanyabiashara mara nyingi husafiri kwenda kuchukua mzingo akiwa mwenyewe mara chache na mme wake, kilinishangaza siku shemeji kanipigia simu kwamba "nijiandae nimekata tiketi mbili mimi na wewe keshokutwa naenda na wewe" kwangu ikawa kama saprise flan hivi kwani sikuwai fika huko anakoenda.

Siku ikafika safari ikaanza tulifika salama.akachukua usafiri had I hotel ndipo vituko vikaanza, akachukua room moja badala mbili nikamwambia vipi si ungechukua viwili akaniambia wasiwasi wako nini? Basi nikawa mpole nikajua labda anarafiki zake huko ataenda lala mimi ataniacha hapa kumbe! Ndo kwanza kuingia kajibwaga kitandani nikiwa nashangaa shangaa kavua nguo kajifunga kanga kaingia bafuni mbele yangu.

Nikabaki natoa macho nikawa kama nimepata ganzi flani ya kunitoa ufahamu, nilivyomaliza kuoga ikabidi ni muulize kulikoni mbona sielewi? Anacheka we si shemeji yangu unaogopa mini?" Kanijibu"basi na mimi nikaona isiwe kesi namauchovu yangu nikalala nimekuja kushtuka tupo kama tulivyozaliwa, shuka moja kitanda kimoja nikaonja utamu wa shemeji. Kaka nisamehe na naomba usijue japo nimetoboa siri mwenyewe, shemeji umeniponza.

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +