Pages

Thursday, May 23, 2019

Pata ujumbe wa Mapenzi kisha mtumie yule unayempenda

Sikia wimbo huu, Mapenzi
Mapenzi ni zaidi ya fikra,
Mapenzi ni kama mchezo,
Mapenzi ni zaidi ya chochote juu yako,

Kwa kila kitu na siku zote,
Mapenzi kama zaidi ya tabasamu tamu,
Mapenzi ni kama wimbo mtamu,

Mapenzi ni zaidi ya hisia,
Ni zaidi ya mawazo,
Mpenzi nibebe tuwe pamoja kama kumbikumbi,

Nakupenda kwa MOYO ,
Mwiliwangu na damu yangu nitakupa,
Napenda unavyonionesha njia za mapenzi,

Hakika sijiwezi kwa mapenzi yako,
Nakumbuka wakati tukiwa pamoja,
Nakumbuka jinsi unavyonitazama,

Nakumbuka unavyoniambia, nikushike,
nikulambe nami nilifanya, kiba hiyana,
Hakika nakupenda kwa kila hali,

Endelea kuniita MPENZI nani nikuite ASALI,
Nakutamkia tena na tena, NAKUPENDA,
Na siwezi kukusaliti milele.


Haiba ya Moyo

Ni kweli wewe ni mwanamke wa pekee,
Umebarikiwa mambo mengi matamu pekee,

Ndimi zako laini, tamu zisizo na mfano,
Mguso wako ni waajabu na wenye ubaridi,
Nikiwa nawe napoteza kumbu kumbu,

Nakiri kusema nikiwa nawe ni zaidi ya mbumbumbu,
Mapigo ya moyo wako yanadunda kifuani mwangu,

Sawa na upepo baharini usiokoma kuvuma,
Nakuwaza kila iitwapo asubuhi,

Na hunijia ndotoni nyakati za usiku,
Nguvu ya mapenzi yako ni zaidi ya silaha za sumu,

Na kamwe siwezi kusimulia utamu wa hazina ya asali yako,
ILA NITAKUPENDA daima.

Mwanamke wa maisha nyangu

Wewe ni mwanamke wa maisha yangu,
Wewe ni Malkia ndani ya moyo wangu,

Mimi ni madini kwenye ngao kichwani mwako,
Wewe ni Jua liwakalo na kunipa mwanga mchana,

Pia hunipa joto nyakati za usiku,
Kadhalika u-miale ya jua la subuhi,

Unataka nikwambie nini kipya?,
Naam pokea ujumbe huu kutoka kwangu wakati huu,

Mimi ni mawingu sahihi ndani ya kifua chako kitamu,
Mimi ni mto upishao maji halisi na masafi yaitwayo MAPENZI, Umenielewa?

Wewe ni mlima wenye kilele kirefu ulijaa kila ainaya raslimali,
Japo mmiliki ni mimi lakini wengu wanalitamani,

Naahidi kukulinda na kila aina ya uvamizi dhidi yako,
Sitaki mtu afyeke na kuchoma moto msitu wako wa uletao mmvua iitwayo mapenzi,


Jina lako
Nimeandika jina lako angani,
Lakini mawingu yanelibeba,

Nimeandika jina lako hewani,
Lakini upepo umelichukua,

Nimeandika jina lako katika MOYO wangu,
ambalo lipo na litaendelea kuwepo milele.


Sikia wimbo huu, Mapenzi
Mapenzi ni zaidi ya fikra,
Mapenzi ni kama mchezo,
Mapenzi ni zaidi ya chochote juu yako,

Kwa kila kitu na siku zote,
Mapenzi kama zaidi ya tabasamu tamu,
Mapenzi ni kama wimbo mtamu,

Mapenzi ni zaidi ya hisia,
Ni zaidi ya mawazo,
Mpenzi nibebe tuwe pamoja kama kumbikumbi,

Nakupenda kwa MOYO ,
Mwiliwangu na damu yangu nitakupa,
Napenda unavyonionesha njia za mapenzi,

Hakika sijiwezi kwa mapenzi yako,
Nakumbuka wakati tukiwa pamoja,
Nakumbuka jinsi unavyonitazama,

Nakumbuka unavyoniambia, nikushike,
nikulambe nami nilifanya, kiba hiyana,
Hakika nakupenda kwa kila hali,

Endelea kuniita MPENZI nani nikuite ASALI,
Nakutamkia tena na tena, NAKUPENDA,
Na siwezi kukusaliti milele.


Haiba ya Moyo

Ni kweli wewe ni mwanamke wa pekee,
Umebarikiwa mambo mengi matamu pekee,

Ndimi zako laini, tamu zisizo na mfano,
Mguso wako ni waajabu na wenye ubaridi,
Nikiwa nawe napoteza kumbu kumbu,

Nakiri kusema nikiwa nawe ni zaidi ya mbumbumbu,
Mapigo ya moyo wako yanadunda kifuani mwangu,

Sawa na upepo baharini usiokoma kuvuma,
Nakuwaza kila iitwapo asubuhi,

Na hunijia ndotoni nyakati za usiku,
Nguvu ya mapenzi yako ni zaidi ya silaha za sumu,

Na kamwe siwezi kusimulia utamu wa hazina ya asali yako,
ILA NITAKUPENDA daima.


Mwanamke wa maisha nyangu

Wewe ni mwanamke wa maisha yangu,
Wewe ni Malkia ndani ya moyo wangu,

Mimi ni madini kwenye ngao kichwani mwako,
Wewe ni Jua liwakalo na kunipa mwanga mchana,

Pia hunipa joto nyakati za usiku,
Kadhalika u-miale ya jua la subuhi,

Unataka nikwambie nini kipya?,
Naam pokea ujumbe huu kutoka kwangu wakati huu,

Mimi ni mawingu sahihi ndani ya kifua chako kitamu,
Mimi ni mto upishao maji halisi na masafi yaitwayo MAPENZI, Umenielewa?

Wewe ni mlima wenye kilele kirefu ulijaa kila ainaya raslimali, Japo mmiliki ni mimi lakini wengu wanalitamani,

Naahidi kukulinda na kila aina ya uvamizi dhidi yako,
Sitaki mtu afyeke na kuchoma moto msitu wako wa uletao mmvua iitwayo mapenzi,

Jina lako

Nimeandika jina lako angani,
Lakini mawingu yanelibeba,

Nimeandika jina lako hewani,
Lakini upepo umelichukua,

Nimeandika jina lako katika MOYO wangu,
ambalo lipo na litaendelea kuwepo milele.

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +