Pages

Tuesday, May 21, 2019

PUNYETO ( Masturbation ) ILIVYONILETEA DHARAU KWA MADEMU WALIONIVULIA NGUO DAAH USJARIBU

PUNYETO ILIVYONILETEA DHARAU
MTUNZI:GEOFREY MALWA

Nakumbuka ni kipindi kirefu kilichopita, mchezo huu niliuanza nikiwa kidato cha pili shule ya wavulana tupu(Songea boys). Sio kwamba niliiga kutoka kwa wanafunzi wenzangu, ila waswahili husema shida huongeza uwezo wa kufikiri, hivyo baada ya kufikiri sana ni kivipi ningeweza kutatua shida yangu ya kushiriki tendo na msichana, niliona PUNYETO(kujichua) ndio mtatuzi sahihi.
Niliuanza huu mchezo taratibu, ule msisimko nilioupata kwa mara ya kwanza nilipojichua, ulinifanya niupende mchezo huo na kuamini sina chochote cha kusaidiwa na msichana. Nikafuate utamu? Mbona nilupata nikiwa peke yangu. Nilianza kwa kutumia sabuni, niliiacha baada ya kuona inanichubua na kuanza kutumia mafuta ya mgando(baby care).
Mpaka nilipofika chuo kikuu bado nilikuwa nikijichua na hakukuwa na mtu aliyegundua suala hilo zaidi yangu na Mungu wangu. Sio kwamba sikuwa na wapenzi kwa kipindi hiko chote, ila nilishazoea na sikuweza kuacha. Wapo waliosema kuwa punyeto inamaliza nguvu za kiume, nilithibitisha hilo ni uwongo kwani kila msichana niliyefanya naye mapenzi, alinisifu kuwa mimi ni fundi na nina nguvu zilizopitiliza. Kiukweli nilikuwa moto wa kuotea mbali kwenye mechi za sita kwa sita.
Nakumbuka siku hiyo nikiwa najisomea darasani, kuna msichana fulani alikuwa akiitwa Sonia, alinifuata na kuniomba nimsindikize klabu usiku. Alikuwa ni msichana mrembo kuliko wote, naweza kusema kwa chuo kizima alijaaliwa umbo la kimahaba hasa. Tetesi nyingi zilizagaa chuoni hapo juu ya umalaya wake lakini yeye hakujali. Tulikuwa marafiki wa kawaida na alimjua mpenzi wangu, nilimkubalia na usiku wake tukaenda klabu.

Mtoto wa kike alivalia skinjinzi iliyomkaa vyema mwilini na kulichora umbo lake la mahaba, hipsi na wowowo la wastani lilizidi kukufanya usimame kwa miguu mitatu. Kifuani utadhani Mungu aliishiwa udongo wakati alipokuwa akimuumba. Dakika chache baada ya kushuka kwenye bajaji, kwanza alianza kucheza kabla ya kuingia klabu, ule mtikisiko wa wowowo lake, alivyokuwa akinyonya kiuno chake na kukigandisha kama hakikuwa na mfupa, huwezi amini guu la tatu lilisimama bila kakanyaga chini.
“umemwacha hosteli eeh! Leo utadinda mpaka ukome,” aliniambia hivyo Sonia huku akicheka
“tulia wewe, unafikiri kirahisi hivyo!” nilijitete kuficha ukweli
Yalikuwa ni majira ya saa tano usiku, tuliingia ndani ya klabu, palinoga hasa. Simu yangu niliiweka ‘silence’ maana nilijua tu mpenzi wangu atanitafuta. Mwanga hafifu ulishawishi dhambi na kwa umbo kama la Sonia ndio ilikuwa balaa Zaidi. Tuliingia kati huku mtoto wa kike akiiweka mikono yake begani mwangu, alipanua miguu yake na kuniweka kati kisha umbali ukafinywa na kuwa sifuri, alianza kunikatikatikia taratibu, yaani jinsi alivyokuwa akizungusha kiuno, niliyahisi kabisa mashavu ya kitumbua chake yakinigusa kwenye guu langu la tatu lililokuwa likihema ndani ya boksa.
“ushadinda…(tusi) wewe!” Alinitukana
“ugumu wa zipu huo, usichanganyikiwe.” Nilijikaza na kusema hivyo
Mitindo ya uchezaji wa Sonia kusema ukweli ni kama alikuwa akinikomoa, mara anibinulie wowowo, mara ainue mguu mmoja juu na kunikatikia, nilikuwa katika wakati mgumu hasa, guu la tatu ndio halikuambilika kitu, lilishanusa harufu ya kitumbua.
Watu wakiwa wanayarudi magoma, Sonia alinisogelea na kunikumbatia, kumbatio ambalo ni mpenzi wako pekee anayeruhusiwa kukupa maana huamsha hisia hasa. Sijui saa ngapi mdomo wake ulifika shingoni kwangu ukapanda mpaka sikio la kulia, nikiwa nimeweka akili yangu kwenye kutekenywa masikio na pumzi aliyokuwa akinipumulia, nilishtuka kuona guu langu la tatu likiwa nje ya suruali,
“unajisikiaje!” nilishindwa kumjibu aliponiuliza hivyo
Nilijikuta nikilainika, tukaanza mchezo wa kuwaiga njiwa, mikono yake ilikuwa kama ina shoti maana kila aliponigusa nilisisimka. Mikono yangu ilitua kwenye wowowo lake laini na kuanza kuliminyaminya kama nachagua maembe sokoni. Alikuwa na wowowo laini na lilinisisimua sana nilipokuwa nikilishikashika. Tukakokotana mpaka kwenye kona fulani iliyokuwa na giza, mtoto wa kike alichokifanya, alishusha skinjinzi pamoja na kufuri lake kisha akajifanya kama anaokota kitu fulani chini, huku nyuma mambo yalikuwa ni kujipimia tu, guu langu la tatu lililosimama kama mshale wa mmakonde ndio lilizidi kutuna hasa kichwa chake. Nilishusha tu suruali yangu na boksa kisha nikauchomeka kwenye kitumbua chake ambapo uliingia taratibu ukiteleza. Nilichezea lile wowowo huku nikifanya pushapu za kiuno, mbele nyuma, guu lilizama lote ndani nje ambapo mtoto alipotaka niongeze kasi, sikuona hiyana niliongeza huku naye akiugulia kwa utamu mpaka wazungu wakasikia na kuja, alinipiga kwenye miguu yangu akimaanisha wazungu hawatakiwi kukaribishwa ndani, niliwatolea nje almanusura nianguke chini wakati wazungu wakitoka.

Saa kumi ndio tulirudi hosteli, makosa aliyoyanya dereva wa bajaji kutushushia mbali kidogo na chuo yalisababisha twende raundi nyingine kichakani na hakukuwa na mtu aliyekumbuka kutumia kinga. Alinikubali sana kwa mapigo yangu na kuamini kama ni kazi nilijua kuifanya kikamilifu.

Mchezo wa kujichua sikuuacha na kwavile sikuwahi kuona hayo madhara ya kupungukiwa nguvu za kiume niliendelea nao. Niliendelea kufanya mapenzi na wasichana tofauti mpaka nilipofikia umri wa kuoa. Nilimshukuru Mungu kwa kunipatia mwanamke wa maisha yangu. Baada ya mwaka mzima kupita kwenye ndoa yangu, ndio nilianza kuona mabadiliko. Sikuwahi kuwaza kwamba kwenye maisha yangu itanitokea kushindwa kurudia mzunguko wa pili na kumwacha mwenzangu akiwa katika uhitaji mkubwa. Guu langu la tatu lilianza kusinzia, yaani kunywea ndani ya kitumbua wakati wa libeneke. Lilikuwa ni jambo gumu kuamini kama ni kweli nimepungukiwa na nguvu za kiume, ndio hapo niliporejesha kumbukumbu na kukumbuka ule mchezo wa kujichua ambao baada ya kuoa niliupunguza kwa kiasi kikubwa mno.

Nilitafuta dawa ambapo nyingi nilizozipata hazikuwa za kutibu tatizo moja kwa moja. Mke wangu alianza kupunguza upendo kwangu kwani sikuwa namridhisha. Ndoa yangu changa ilianza kuingia mchanga ikiwa ni matokeo ya mchezo wa punyeto niliokuwa nikiufanya.
“hivi Brayani unafikiri kwetu hakuna chakula! Malazi au makazi! Unahisi nimekuja kula au kuvaa kwako! Msikilizage hata nyimbo, mwanaume mashine.”
Maneno hayo ya mke wangu yalinichanganya sana, siku hiyo aliponitamkia nilijikuta nikimtandika makofi matatu ya hasira.

Majuto ni mjukuu, najutia sana ndugu zangu, huu mchezo naamini sio peke yangu nilioathirika nao. Tupo wengi na mpaka sasa tunaongeza idadi kubwa ya wanaume wenye upungufu wa nguvu za kiume. Ndoa yangu iko mashakani sana, mwaka wa tatu huu sijawahi kumridhisha mke wangu, unahisi hajanisaliti? Japo bado hajaniacha lakini hasira, kiburi na dharau vimezidi ndani ya nyumba.
Inauma sana kuelewa kwamba huwezi kumridhisha mkeo, Zaidi kinachouma ni lazima kutakuwa na watu wanaokusaidia majukumu. Ninaumia kila siku mpaka kuna kipindi nilitamani kufa. Nawapenda sana ndugu zangu ndio maana nimeamua kuwaeleza jambo hili. Bado sijachelewa pia hata wewe hujachelewa naamini katika mambo haya mawili, kutokata tamaa, yaani kuendelea kutafuta tiba, naamini ipo, na pia kwa wale ambao wanasoma shule au walioanza huu mchezo, SIO SALAMA KWA AFYA YAKO NA MAISHA YAKO YA BAADAYE.

Sidhani kama mwisho wa siku ungependa kuja kudharaliwa na mkeo kwamba humfikishi au kumegewa kabisa tunda lako. ACHA kujichua, AMKA na upambane na hali hiyo ili isikuzoee. Ikatae kama umkataavyo shetani na Mungu akusaidie.

MWISHO

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +