Pages

Thursday, May 9, 2019

Wanaume Wawili Walisaidiana Kutoa Bikra Yangu kwa Wakati Mmoja:-Chemical

Mwanadada Chemical amefunguka na kuweka wazi kuwa hata siku moja hawajwahi kujutia swala la yeye kutolewa bikra na wanaume aliwaohi kutembea nao kwa sababu hata kipindi anaanza mahusiano hakuwahi kuwaza kuwa mwanaume anaeingia nae katika mahusiano ndio atakae muoa kwa sababu anajua kabisa kuwa wanaume wa sasa ni waongo na wanabadilika muda wowote.

Sijasema  kama naingia kwenye ndoa baada ya miaka mitano  hapana,anaweza akakupenda mtu leo kesho alafu wakabadilika  na ahasikupende tena kwangu mimi hiyo iko fresh tu wala sina tatizo.sijaingia katika mahusinao  na kusema kuwa huyo ndo atakuwa mwanaume wangu wa ndoa.

Hata hivyo, chemical anasema kuwa pamoja na yote lakini swala la kutoloewa bikra kwake ilikuwa kazi sana kwa sababu kwa miaka 20 alikua bikra hivyo ilikuwa ngumu sana kwa w mtu mmoja kumtoa hivyo ilibidi watu wawi;i wasaidiane.

download latest music   
unajua nimekaa miaka 20 kwaio sio midogo, hivyo ilibbidi wasaidianae,na yote hayo yalifanyika nikiwa na akili zangu  kwa sababu nilikuwa nimepanga itolewe lakini sasa kwa sababu ilikuwa ngumu ilibidi aje wa kwanza aliposhindwa akaja wa pili.

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +