Pages

Friday, April 5, 2019

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
mimi; kwa nini?
mke; ungekuta na sisi tuna gari nzuri hatutembeu kwa mguu
mimi; ah wap,unadhani ningekuwa tajiri ningekuwa na wewe?ungekuta natoka na kina wema,zari…
😁😁😁
*naona anakusanya nguo zake itakuwa anaenda kufua*
😂😂 😂 😂😂

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +