Pages

Wednesday, April 24, 2019

USILETE UTANI KATIKA MAPENZI HASA KATIKA SUALA LA KUTOMBANA

Mdada mmoja alitaka kujua kiasi gani anapendwa_
_na mume wake, hivyo akataka kujua mumewe_ 
_atafanya nini endapo ataamua kuondoka na_
_kumuacha!_
_Mwanamke huyo akaamua kuandika barua_
_inayosema "Samahani mume wangu,_ _nimeamua_
_kuondoka na kwenda kuanza maisha mapya mbali_
_na wewe"*Barua hiyo akaiweka juu ya meza iliyokuwa_
_chumbani._
_Baadaye jioni, muda wa Mumewe kurudi_
_mwanamke huyo akajificha chini ya uvunguni_ _wa_
_wakitanda mule chumbani Mume alipoingia_
_chumbani akakuta ile barua juu ya meza,_ _akaisoma_
_kisha, akaandika maneno fulani kwenye ile ile barua,_
_halafu akaanza kuimbaimba kwa furaha huku_
_akipiga milunzi na akiwa anavua nguo.Akapiga_ 
_simu_
_na akasikika akisema hivi_
_"hello mpenzi, nina raha_
_sana leo.. yule mwanamke nuksi ameondoka_
_mwenyewe bila kumfukuza_
_nakutuachia uwanja, jiandae_
_nakuja "Muda huo huo Mume akaondoka.~_
_Mwanamke alipokuwa uvunguni akawa analia na kutokwa na machozi akaamua kutoka_
_lakini amenyong'onyea na amelowa mashavu kwa_
_machozi._
_Akasogea pale ilipo barua na akataka kujua_
_mumewe aliandika kitu gani kwenye ile barua._
_Akakuta maneno haya "nimekuona miguu yako_
_uvunguni tafadhali andaa chakula nina njaa sana_
_mumeo, ila nimetoka kidogo nafuata maziwa_
_nilisahau kupitia. Nakupenda mke wangu.._
😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
_Hivi nani kampata mwenzakee_ 
_Kama umeipenda plz share na mwenzako ujumbe aupate_

_Nimeipenda_

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +