Pages

Wednesday, May 22, 2019

AISIIIII……….U KILL ME 29........ ONLY 18+

ILIPOISHIA
Afande Judithi akazima computer hiyo kisha akanigeukia.
“Unatakiwa sasa ukaoge na kukupa vitendea kazi vyako. Njoo nikuonyeshe bafuni”
Nikaongozana na afande Judithi hadi katika bafu, akanionyesha kisha akatoka, taratibu nikaanza kuvua koti la suti kisha shati. Nikavua viatu pamoja na shati kisha nikasimama mbele ya kioo huku nikijitazama majeraha niliyo yapata usoni mwangu. Nikiwa nimesimama mbele ya kioo nikaona mlango wa bafu ukifunguliwa ikanibidi kugeuka na kumuona Banyanka akiingia bafuni hapa akiwa amevalia chupi na siridia, kwa jinsi umbo lake lilivyo la kirembo nikabaki nimeduwaa.
“Tuoge wote”
Babyanka alizungumza na kunifanya nibaki nikiwa nimekaa kimya nisijue nini cha kufanya, huku jogoo wangu akianza kuleta fujo za kutaka kusimama taratibu.

ENDELEA
“Muambie alale huyo”
Afande Judithi alizungumza huku akimtazama jogoo wangu, nikajihisi aibu kwa maana huwa siku zote ninaamini kwamba mwanamke akijileta kwa staili hii basi ni wa kumla kitumbua. Afande Judithi akavua chupi yake pamoja na siridia yake. Akasimama kando yangu na kuanza kumwagikiwa na maji ya bomba la mvua. Akachukua sabuni na kuanza kujipaka kila upande. Kusema ukweli Babyanka amebarikia umbo zuri huwa wanaume tunaitaga romantic body. Amejaliwa urefu kiasi, hispi kiasi makalio ya kiasi, na jinsi anavyo fanya mazoezi basi kila kitu kwneye mwili wake kipo katika usawa mzuri.
“Dan yoga unanishangaa, ina maana hukupitia mafunzoni?”
“Ahaaa…hahaa hapana”
“Unashangaa, hii ni kum** tu hata ukiitomb** utaiacha hapa hapa kwangu”
Sikutarajia kama Babyanka anaweza kuzungumza maneno ya aina hii kwa maana ukimtazama ni mpole na mstaarabu sana. Na mimi nikaanza kuoga taratibu huku nikijaribu kumzuia jogoo wangu na hisia zangu kumtamani Babyanka.
“Dany hadi sasa hivi umetomb** wanawake wangapi?”
“Eheee?”
“Hadi sasa umepakua wanawake wangapi?”
“Kwa nini unauliza hivyo?”
Kwa sababu ninaona umekuwa mshamba wa kum* yangu unaishangaa sana”
“Ahaaa kama mwanaume jarisi ni lazima nistuke nikiona kitu kama hicho”
“Hahaaa kwa hiyo hapo mbo** yako inapata shidaa….?”
“Wee acha tu”
“Nikikupa sasa hivi uto kuwa makini na kazi ya kumlinda raisi?”
“Ahaaa nikipata nitakuwa makini zaidi ya kuondoka na maumivu haya ya huyu jogoo wangu”
Babyanka akachukua sabuni na kiganja chake cha mkono wake wa kulia kisha akaizungusha zungusga, mara kadhaa na kuchukua puvu jingi. Akanisogelea na kumshika jogoo wangu. Akaanza kumchua kwa kutumia povu hilo, jogoo wangu akazidi kukaza kwa kasi, nikaupeleka mkono wangu taratibu hadi kwenye kiuno chake nikamvuta kwa ukaribu zaidi. Chuchu zake ndogo kiasi zikagusana na kifua changu kilicho barikiwa kuwa kizuri kutokanana mazoezi makali ninayo yafanya.
“Mbo** yako ipo vizuri sana”
“Kawaida sana”
Babyanka alipo hakikisha kwamba amemchua jogoo wangu, taratibu akanidandia mwilini mwangu na mimi nikamshikilia vizuri huku miguu yake akiwa ameipitisha kiunoni mwangu. Kutokana ni mwepesi sikuona uzito wa aina yoyote. Kwa mkono wake mmoja wa kulia akaushusha chini kidogo na kumshika jogoo wangu na kumuingiza kwenye kitumbua chake. Kazi ikaanza huku nikimshika vizuri kiuno chake. Kwa wepesi alio nao Babyanka ukanipa fursa ya kumchochoe kitumbua chake, na yeye hakuwa nyuma katika kujiachia. Babyanka akaniomba kushuka chini, nikamshusha taratibu, akashika sinki la kunawia kwa mikono yake miwili huku akibpong’oa. Shuhuli ikazidi kuendelea kwa mwendo wa kasi sana kiasi kwamba sote tukajikuta tunapata burudani iliyo jaa furaha sana.
“Danyy nitomb**** weeeeee”
Nikazidi kumuonyesha maujanja Babyanka hadi linatimia lisaa, tukajikuta tukimaliza kwa pamoja huku yeye akidai alisha tangulia magoli kadhaa mbele.
“Mamaee Dany umenitomb*** hadi miguu nahisi kunyong’onyea”
“Hahaaa”
“Ahaaa wewe mashine nyingine, haaaaa sijawai pata ona aiseee”
“Ila na wewe upo vizuri”
“Yaani nimejaribu kutoa hadi vya uvunguni ili twende sawa, ila mmmm umenishindaa wewe mwanume”
“Hhaaaa”
“Yaani kama wewe ungekuwa ni bunduki basi ningekupa jina la AK47”
“Sawa tuoge tupate chakula, tujue ni vipi tunaianza kazi yetu”
“Poa”
Tukaoga kwa pamoja, kisha tukatoka katika bafu, tukaingia kwenye moja ya chumba ambacho kina kabati kubwa pamoja na kitanda kimoja cha sita kwa sita.
“Hii nyumba umeishi kwa kipindi gani?”
“Hapa ni nyumba yangu ya siri, ila nimepanngisha maeneo ya Chumbageni kule”
“Ahaaa”
“Hapa kuna nguo za kazi ambazo ni nyeusi tu”
“Uma maana gani kusema kwamba ni nyeusi tu”
“Maana yangu ni kwamba ni nguo nyeusi. Hizi ndizo raisi aliniagiza nikupatie. Nguo hizi zina vifaa maalumu ambayo vinaweza kuzuia risasi yoyote ambayo inaweza kupigwa na maadui. Na hizi nguo wanavaa watu wanao mlinda raisi kwa ukaribu”
Babyanka alizungumza huku akinipatia nguo hizo ambazo kwa kuzitazama tu zina utofauti. Nikavaa koti lake ambalo ni zito kiasi.
“Unatakiwa kutanguliza suruali kwanza, kisha nitakuonyesha kitu.”
“Kwa hiyo nivue hili koti”
“Ndio vua”
Nikafanya kama alivyo niagiza Babyanka, akanipatia boksa nikaivaa kisha nikavaa suruali ya hizi nguo maalumu, nikavaa shati hili lililo nikaa vizuri mwilini mwangu.
“Nitazame?”
Nikamgeukia Babyanka, akaninyooshea kidole gumba kwamba nipo vizuri katika vazi hilo, na yeye akavaa nguo hizo. Tukaa viatu vya jeshi, kisha tukatoka chumbani hapo, tukaelekea sebleni. Babyanka akafungua kabati moja, akanza kutoa silaha za kivita hususani bastola pamoja na visu maalumu vya kijeshi.
Akanipatia kifaa maalumu cha mawasiliano ambacho ninakiingiza sikioni mwangu na si rahisi kwa mtu kuweza kukiona na ninaweza kuwasiliana na raisi moja kwa moja pasipo kumpigia simu.
“Muheshimiwa unanisikia?”
“Ndio ninakupata Dany”
Niliisikia sauti ya muheshimiwa raisi vizuri. Tukaweka silaha zetu zirui, huku kila mmoja akiwa na saa yake maalumu inayo onyesha majira yanavyo kwenda. Ilipo timu saa saba kasoro usiku tukatoka nje ya jumba hili kila mmoja akiwa na silaha za kutosha huku tukiwa tunajiamini kwa kila kitu ambacho kinakwenda kutokea mbele yetu.
Babyanka akazunguka nyuma ya nyuma hii, nikaona taa za gari zikiwa zinawaka nikatambua kwamba gari hilo amelificha nyuma ya nyumba hii. Taratibu Babyanka akaliendesha gari hio hadi sehemu nilipo simama. Ni gari aina ya Audi Q7, gari hizi ni gari za kifahari sana ambazo nimesha wahi kuziona kwenye filamu mbali mbali za wamarekani hususani filamu za Transpoter.
“Ngoja nichukue gari nyingine”
Babyanka alizungumza huku akishuka kwenye gari hili, moja kwa moja akaelekea alipo elekea mara ya kwanza ambapo ni uwani. Akarudi na gari jengine linalo fanania na gari hili.
“Sasa Dany unaendesha hili au hilo”
“Lolote”
“Poa endesha hilo, ngoja nifungue geti”
Babyanka akatangulia getini na kulifungua. Taratibu nikatoka na gari hili, kisha yeye akarudi ndani na kuchukua gari lake, akalitoa nje ya uzio wa nyumba hii kisha akashuka na kurudi kufunga geti hili. Akarudi kwenye gari na safari ikaanza huku tukiwa tumeongozana yeye akiwa ametangulia mbele mimi nikimfwata kwa nyuma kwa maana yeye ndio anatambua kwamba ni wapi anaelekea.
“Dany unaoneka wewe ni Leaner ehee”
“Leaner wa nini?”
“Wa kuendesha gari kwa manaa upo slow sana”
“Acha hizo so unataka nikuonyeshe maujuzi ya kuendesha gari?”
“Nionyeshe”
“Tangulia mimi nakwenda mdogo mdogo nakuhakikishia kwamba ufiki Kange nitakuwa nimekupita”
“Haya sasa twende kazi”
“Poa”
Tulizungumza na Babyanka kupitia vinasa sauti tulivyo vaa masikioni, Babyanka akaanza kuongeza mwendo kasi wa gari lake, nikamuacha apotee mbele ya upeo wa macho yangu. Kisha na mimi nikaanza kumfukuzia kwa mwendo ambao ninaamini kwamba ninaweza kumpata. Uzuri wa gari zetu zina uwezo mkubwa wa kukimbia, na zina spidi mita mia mbili na themenini. Kutokana ni usiku barabara imetulia kwa kiasi kikubwa jambo lililo nifanya nizidi kuendesha gari hili kwa kasi. Sikuchukua muda mrefu nikamuona Babyanka kwa mbali maeneo ya Kange jeshini. Nikazidi kuongeza mwendo, hadi tunafika Kange stendi kuu, nikawa nimemkaribia na kuanza kumpita taratibu.
“I told you”(Nilikuambia)
“Nimekukubali, kwa mwendo wote huu umenikuta”
“Wewe ndio leaner, unifwate nikufundishe kuendesha gari”
Baada ya kuzungumza maneno hayo, nikampita Babyanka na mimi ndio nikawa ninaongoza msafara huu, kwa kasi ambayo tumeitumia, ikatuchukua dakika kumi kuweza kufika mji wa Pongwe. Nikapunguza mwendo na kumuacha Babyanka kutangulia mbele kisha na mimi nikamfwata kwa nyuma, tukakunja kushoto na kunza kuingia barabara ya vumbi inayo elekea kwenye kijiji cha Maranzara. Safari hii ikachukua dakika kama tano hivi tukafika katika kiwanja hicho ambacho ndipo raisi atakapo fika na helcoptar. Tukazisimamisha gari kwa mbali kisha tukashuka kwenye gari hizi tukalichunguza kama lina usalama. Tulipo hakikisha kwamba lina usalama tukasimama kwenye moja ya mti mkubwa ulipo katika eneo hili.
Masaa na dakika zikazidi kukatika hadi ikatimu saa nane usiku, tukaanza kusikia mgurumo wa Helcpotar kwa mbali, tukajiweka tayari huku macho yetu yakiwa yatatazama kili kona kwa usalama. Mwanga wa helicopter tukaanza kuuona kwa ukaribu. Taratibu helicopter hiyo ikaanza kushuka taratibu hadi ikafika chini. Moja kwa moja tukakimbilia hadi sehemu ilipo simama, Banyanka akafungua mlango wa helicopter, wakashuka jamaa wawili walio valia suti nyeusi, kisha akashuka raisi. Tukasalimiana naye na kumuonyesha sehemu zilipo gari zetu na kuiacha helicopter hiyo ikondoka.
Tukaanza kutembea kwa mwendo wa umakini huku raisi tukkiwa tumemuweka katikati yetu. Kila mmoja akiwa makini kutazama kila sehemu. Tukafika kwenye gari zetu, nikafungua mlango wa nyuma wa gari niliyo kuwa ninaendesha mimi. Raisi akaingia kisha akaingia na mlinzi wake mmoja, mimi nikataingia mlango wa mbele upande wa dereva. Babyanka na mlinzi mwengine wakaingia gari la nyuma. Taratibu Babyanka akaanza kuongoza msafara huku gari tukiwa tumeziwasha mwanga hafifu kuhofia chochote kinacho weza kutokea mbele yetu kwa maana mji alio kuja raisi ndani ya siku chache tu umeweza kutokea matukio mengi ya kuogopesha.
“Munaweza kunipeleka nyumbani kwa mbunge muheshimiwa Eddy?”
Raisi aliniuliza sikuweza kushangaa sana kwa manaa baba mkubwa ni mtumishi wa serikali ila ubaya ni kwamba baba mkubwa na familia yake hawafahamu kazi ambayo ninaifanya.
“Ndio muheshimiwa”
“Basi fanyeni hivyo”
“Babyanka unapafahamu nyumbani kwa muheshimiwa mbunge Eddy?”
“Ndio”
“Ok tuongoze”
Wakati huu tunatembea kwa spidi themanini, hatufanyi upuuzi wa kumkimbiza raisi wa nchi kwa mana akipata taizo basi serikali ya jamuhuri itatuhukumu sisi. Tukiwa maeneo ya kukaribia kufika Nguvumali, yukaona gari mbili zilizo jaa wapiganaji wa kisomali zikija mbele yetu, jambo lililo anza kumpa wasiwasi kila mmoja na kama ninavyo fahamu kuna mpango mbaya umepangwa kwa ajili ya kumuangamiza raisi.
“Dany tanua barabara”
“Sawa”
Nikafanya kama alivyo niambia Babyanka, gari zetu zote zikatawala barabara huku kila mmoja akiwa makini kuhakikisha kwamba tunamuokoa raisi pili hawa wajinga wote safari yao ya kuingia Tanzania kinyemera inaishia hapa.
ITAENDELEA

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +