Pages

Sunday, May 19, 2019

VICHEKESHO BOMBA VYA LEO

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali +++ Wavutaji bangi wamepanda basi la gorofa wengine juu wengine chini….
Waliopanda chini wanawauliza wa juu huko speed ni ngapi maana huku ni 80.
Wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui dereva bado hajaja…. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚πŸ˜‚


Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba





πŸ‘‰HII NI KALI KULIKO ZOTE ULIZO


ZISOMA



- KUNA WIZI UMETOKEA BENKI

•Jambazi akasema "wote laleni chini pesa ni za

Serikali na Maisha ni ya kwenu", wote wakalala

chini (HII INAITWA DHANA …YA USHAWISHI) -

kubadilisha njia ya kawaida ya kufikiria)

• Kuna dada kwa woga akawa

amelala chini kimitego, Jambazi

akamwambia, "dada hebu kuwa

na adabu chukua kanga jifunike hili ni tukio la

ujambazi na sio la ubakaji” (HUU UNAITWA

WELEDI) -zingatia ulichofundishwa kufanya)

• Walipotoka kwenye wizi jambazi mdogo

ambaye ana shahada ya Uzamili ya biashara

akamwambia mwenzake, "tuzihesabu hizi

fedha.” Yule mkubwa akamcheka kwa dharau

na kumjibu, "wewe mjinga sana hizo hazina

haja ya kuhesabu saa mbili wata tutangazia

kwenye taarifa ya habari tumeiba kiasi gani.

(HUU UNAITWA UJUZI) - Siku hizi ujuzi ndio

bora kuliko vyeti)



• Baada ya majambazi kuondoka meneja

akamwambia mhasibu wa bank, " ujumlishie na

zile milioni 80 tulizo iba sisi.” (HUKU KUNAITWA

KUOGELEA NA MKONDO WA MAJI -

kushabihiana na mazingira magumu kwa faida

binafsi.)

•Mhasibu akafurahi na kusema, "dah wizi

ukitokea kila mwezi itakuwa burudani

sana.” (HUKU KUNAITWA KUWA NA MAWAZO

CHANYA - Furaha ndio kitu cha muhimu zaidi)



• Meneja kafurahi sana kwa kuwa sasa

matatizo yake yametatuliwana wizi uliojitokeza.

(HUKU KUNAITWA KUTHUBUTU-shikilia nafasi

pale inapojitokeza hata kama ni hatari kiasi

gani.

Haya usiku wake taarifa ya habari ikatangaza

kuwa wizi mkubwa sana wa million 100

umetokea leo benki. Majambazi kuskia hivyo

wakaanza kuhesabu zile pesa lakini wakajikuta

na milioni 20 tu.



πŸ‘‰Yule jambazi mkubwa akashtuka na kusema,

"dah! yaani meneja kaiba mara nne zaidi yetu

bila kutumia msuli? Bora Umeneja kuliko

Ujambazi.” (HII INAITWA ELIMU NDIYO KILA

KITU) - ishike sana elimu ina nguvu kuliko

chochote.



KAMA UMEIPENDA SHARE



πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚πŸ˜‚



 Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana



Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.

MKE: Salama tu

MUME: Uko wapi?

MKE: Jamani si niko nyumbani

MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mke­ akawasha blender

MKE: Umesikia?

MUME: Okay haya mi natoka kazini naja



Siku ya pili

MUME: Vipi mko salama huko?

MKE: Tupo kama ulivyotuacha

MUME: kwani uko wapi?

MKE: Niko nyumbani napika

MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani

Mke akawasha blender

MKE: Umesikia?

MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili



Siku sita baadae mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.

MUME: We mama yako yuko wapi?

MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi



πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚πŸ˜‚







 Hii sasa ni kali







*Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi*πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚πŸ˜‚

No comments:
Write comments

Recommended Posts × +